PSG kijasho kinawatoka kwa sasa juu ya supastaa wao Kylian Mbappe kama atakuwa fiti kuwakabili Manchester City kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Metz.
Supastaa huyo wa Ufaransa, alitolewa uwanjani dakika 87 akidaiwa kuwa na maumivu ya paja aliyopata kwenye mechi hiyo ya ushindi wa mabao 3-1, ambapo alifunga mara mbili na bao jingine likifungwa na Mauro Icardi.
PSG itakipiga na Man City keshokutwa Jumatano ikiwa ni mechi ya kwanza ya hatua hiyo ya nusu fainali.
KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.
Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?



Johnmary jo
Mungu amfanyie wepesi apone#meridianbett#
dorophina
Pole yake mbappe
aisha
Poleni sana psg
Venerose
Nakutakia kila la kheri
Elika
Pole kwa chama langu
Issa
Sasa hawana fowad mwingine
Sarah
Pole yake
Magdalena
Balaa
Lydia Emmanuel Magoti
Pole yake mbappe
Sania mapua
Pole sana Mbappe