Bingwa mara nne wa dunia kwenye mbio za magari F1 Sebastian Vettel ametangaza rasmi kuwa atajiunga na timu ya magari ya Aston Martin baada ya kuachana na Ferrari na atashiriki …
Makala nyingine
Mkurugenzi wa timu ya Mercedes – Toto Wolff inayoshiriki F1, ataendelea kusalia kwenye timu hiyo mwaka 2021. Mkataba wa Wolff unamalizika mwaka huu na taarifa rasmi imesema kiongozi huyo atasalia …
Mchezo wa mbio za magari – Formula 1 [F1] ni kati ya michezo iliyoathiriwa na mlipuko wa Corona. Baada ya kurudi kwa michezo kadhaa, sasa ni rasmi ratiba ya 2020 …
Thiago Silva ni Mbrazil wa kwanza kuanza fainali ya Kombe la Ulaya Ligi ya Mabingwa kama nahodha. Thiago Silva amekuwa nahodha wa PSG mara nyingi zaidi kuliko mchezaji mwingine yeyote …
Baada ya kuwa na majadiliano ya hapa na pale, hatimaye timu zote 10 zinazoshiriki Mashindano ya Formula One [F1] zimesaini mkataba wa ‘Concord Agreement’. Mkataba [Concord Agreement] uliopo kwa sasa …
Toto Wolff ataamua hatma yake kuhusu kusalia kwenye uongozi wa timu ya Mercedes kunako michuano ya Formula One – F1. Chini ya uongozi wa Wolff, Mercedes imekuwa timu yenye mafanikio …
Wakati michezo mbalimbali ikirejea baada ya kusimama kwa muda kutokana na mlipuko wa Korona. Mashindano ya Fomular One – F1 yameongeza muda kwa timu kujisajili kushiriki. Tarehe ya mwisho iliyopangwa …
Klabu ya kandanda ya Hertha Berlin inalenga kurejea katika ligi kuu ya soka ya Bundesliga msimu ujao tofauti na harakati zake katika msimu uliopita, amenukuliuwa akisema Rais wa klabu hiyo, …
Dereva Fernando Alonso anatarajia kurejea tena Formula 1 baada ya kutangaza kustaafu mwaka 2018. Staa huyu ambaye amewahi kuwa bingwa mara mbili wa dunia anatarajia kurejea kwa msimu wa mwaka …
Mbio za Magari ya Formula One zinaanza msururu wake wa kwanza wakati msimu uliolazimika kupangwa upya uking’oa nanga wiki hii, ambapo Austria itaandaa mashindano mawili ya kwanza mfululizo lakini bila …
Benard Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa yupo tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Simba wa Kombe la Shirikisho unaotarajiwa kuchezwa Julai 12, Uwanja wa Taifa. Morrison …
Ni kilometa 181.6 kutoka mji mkuu wa Amsterdam nchini Uholanzi, kulekea kaskazini mashariki mwa mji mdogo wa Satelite mkoani Groningen, mitaa ya Bedum familia ya Hans na Marjo Robben ilimpokea …
Liverpool wametangaza kwamba mkataba wa beki wa kimataifa wa England Nathaniel Clyne na klabu hiyo hautoongezwa upya. “Kila mtu angependa kumshukuru Nathaniel kwa huduma yake na kumtakia kila la kheri …
Licha ya yota wa Juventus na timu ya taifa ya ureno Christiano Ronaldo kukosa penati kwenye mchezo wa marudiano wa kombe la italia lakini timu hiyo ya Juventus imefanikiwa kutinga …
Formula 1 yafuta baadhi ya mshindano yaliyopangwa kufanywa kwa mwaka huu ikihusha maeneo kama Azerbaijan, Singapore na Japan Korona hata hivyo Formula 1 wanaamini inawezekana kumaizia ratiba yao ya Mbio …
Angel Di Maria anasema anafurahi hakujiunga na Barcelona wakati walipojaribu kumnunua kutoka Paris Saint-Germain miaka mitatu iliyopita. Winga huyo wa Kimataifa wa Argentina alijiunga na PSG kutoka Manchester United mnamo …
Michezo ni miongoni mwa biashara kubwa na nzito sana ambayo wenye uelewa na akili juu ya biashara hiyo na aina ya uwekezaji unaofanywa hapo anaweza kuona kama mambo yanayofanyika ni …
“Ninafurahi kushinda tuzo hii, nani mwingine angeshinda zaidi yangu? Miaka miwili iliyopita nilimaliza katika nafasi ya sita, mwaka jana nikamaliza katika nafasi ya nne, sasa ni zamu yangu” hayo yalikuwa …
Msimu uliovurugika wa mashindano ya Formula One unatarajiwa kuanza tena upya lakini bila ya uwepo wa mashabiki uwanjani nchini Austria mnamo tarehe 5 Julai na tarehe 12 Julai ikifuatiwa na …
Ni wakati mgumu sana ambapo wachezaji wameweza kujiuliza hatma zao katika michezo yao wanayoshiriki. Mmojawapo ni Bwana Lewis Hamilton ambapo mshindi huyo mara sita wa ubingwa wa dunia siku ya …