Bingwa mara nne wa dunia kwenye mbio za magari F1 Sebastian Vettel ametangaza rasmi kuwa atajiunga na timu ya magari ya Aston Martin baada ya kuachana na Ferrari na atashiriki Formula1 msimu ujao.
Vettel anamaliza mkataba wake na Ferrari mwisho wa msimu huu na alitangaza kuwa ataihama timu hiyo.
Sebastian Vettel atajiunga Aston Martin katika mbio za magari kwa msimu 2021 na Ted Kravitz Sky F1 amesema inaleta maana kwa pande zote.
Sebastian ataziba nafasi ya Sergio Perez,aliyetangaza siku ya Jumatano usiku kuondoka katika timu mwishoni mwa msimu, na ataendesha pembeni akiwa na Lance Stroll.
Vettel, ambaye alijiunga na Ferrari mwaka 2015 baada ya kushinda mataji manne akiwa na Red Bull, hakuwa tayari kuacha ukame wa mataji Scuderia, alimpa Lewis Hamilton ubingwa tangu Rosberg aondoke kwenda Mercedes.
Kutua kwa Charles Leclerc katika timu ya Ferrari mwaka uliyopita kumemtikisa Vettel kwa namna fulani na kuzorotesha mahusiano yake na Ferrari,lakini bado alikuwa bingwa wa mbio mwaka 2019.
Sasa amepata nafasi ya kudhihirisha ukali wake tena na kwa mara ya kwanza katika maisha yake akiwa anaendesha Merc-powered car.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Tatu
Sebastian atakuwa ametimiza ndoto zake kujiunga Aston Martin kwenye mbio za magari
Ernest
Watu wanaangalia Maslahi sio mbaya kwa Sebastian Vettel kujiunga na Aston Martin
felister
sio vibaya kwa kujiunga na Aston kikubwa maslai
Leonard
Kitu kizuri
Mwajumah
Sio mbaya kwa sebastian vettel kujiunga na Aston martin anangalia maslai tu#Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Nijambo zuri kwa Sebastian
Furahav
Vizuri
Ester jackson
Umefanya uchaguzi mzuri mana hapo wanalipa vizuri
Sadick
Sebastian amekuwa akipigana kufa na kupona kurejea kwenye ubora wake lakini bado Lewis ana shine.Labda upepo wa bahati utarejea baada ya kujiunga Aston Martin#meridianbettz
Mwanahamisi
Ni Jambo zuri
Povel
Maslah ndo kila kitu vettel kila la kheri
Shani
Kheri kwake
Dorophina
Amechagua sehemu sahihi sana na mkwanja wao upo vizuri sana
rama
vizuri sana michezo ni umoja
Hope mwaikuka
Jambo zur
Adelta
Ni vizuri sana ila aangaliye maslai@meridianbettz
Fatina mfigi
Jambo zuri
Sauda
Sebastian aangalie mpunga ulipo..
Nasra
Ishu maslahi tu
Hidaya
Mambo ya fedha hayo
Khadija
Safi sana kwa uchaguzi waliofanya#meridianbettz
marry
nice
Theonestina
Vizur
lombo
saf
farida ahmadi
Safiiii Sana
Salma ngende
Kila la heri
Elika
Vizur sana
Fatuma kasomo
Jambo zuri
Genia Sikaluzwe
Jambo jema
Saupha mohamed
Kikubwa maslai
Sabrina
Ameamua jambo zuri tu
aisha
Kila ndege hutua mti aupendao kama kuna masilahi basi ni vizuri zaidi
Amiri Kayera
Ni Jambo zur kweny utafutaji lidhik
Samiah
Jambo zuri
Latifa juma mohamed
Vema
Gabriel
ametimiza ndoto zake kujiunga Aston Martin kwenye mbio za magari
Shafii
Jambo zuri.
Janeflora malisa
Nice
David Pere
Watu wanaangalia Maslahi sio mbaya kwa Sebastian Vettel kujiunga na Aston Martin
Rose kapinga
Maamuzi sahihi,endelea kupmbana!!
warda
Sebastian anajua sana ila anataka akaonge nguvu Aston#Meridianbettz
Theckla
Kila laher
Devotha
Kila la kheri
Magdalena
Habari njema
Faraja molell
Safi sana nadhan n moja ya ndot zak