Sebastian Vettel na Aston Martin Msimu wa 2022

Mshindi wa Formula One Sebastian Vettel anataraji kurejea tena kwenye mashindano ya Formula one akiwa na kampuni ya Aston martin

Stroll, ambaye amekuwa na timu tangu mwaka 2019 na amemaliza nafasi za juu katika mashindano kwa ,misimu 14 . Alinukiliwa akisema “natimiza miaka 6 kwenye Formula One na nafurahi kufanya kazi na Vettel na natumaini tutafanya kazi tena 2022.”

Sebastian Vettel
Sebastian Vettel

“Nataraji kuanza msimu mpya na kizazi kipya na gari mpya ndani ya Formula One.”Wanaonekana tofauti  na mbinu mpya na sheria mpya , utakuwa msimu mzuri kwa madereva na mashabiki pia. Alisema SebastianVettel

Sebastian Vettel mshindi mara 4 wa Formula One anamaliza msimu wake wa kwanza akiwa na Aston Martin  baada ya kutumia  misimu sita akiwa na Ferrari. Amemaliza ndani ya nafasi tatu za juu katika msimu huu ukijumlisha mashindano yaliofanyika Azerbaijan akishika nafasi ya 2.


MKWANJA NJE NJE NA DISCO FUNK

Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

 

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.