Zidane Anatua Paris Saint-Germain?

Zinedine Zidane ndiyo jina linalotajwa sana kama mbadala wa kocha wa Paris Saint-Germain Mauricio Pochettino licha ya klabu hiyo ya Ligue 1 kutosema chochote juu ya uwezekano wa kumleta kocha mpya.

Zidane Anatua Paris Saint-Germain?

Lakini kocha huyo raia wa Ufaransa aliweka wazi siku za nyuma matamanio yake ya kuinoa timu ya taifa ya Ufaransa.

Hakuna chochote kilichopangwa lakini Zidane kuifundisha timu hiyo itakuwa ndoto yao baada ya kumpa mkataba mpya Kylian Mbappe kwaajili ya zama mpya za miamba hao wa Ufaransa.

Kwa mujibu wa Mundo Deportive Zizzou amesafiri mpaka Qatar kwaajili ya kukamilisha kusaini mkataba na wamiliki wa PSG huku wakiripoti kwamba dili hiyo itakamilika siku ya kesho.

Zidane ambaye alishinda taji la Ligi ya Mabingwa mara tatu mfululizo amekaa bila kuwa na timu tangu alipofukuzwa Real Madri msimu wa 2020-21 ulipoisha.


ALIYA’S WISHES

Bila shaka unatamani ushindi mkubwa, vipi kuhusu kujaribu Sloti hii ya Aliya’s Wishes? jaribu ushinde sasa.Kasino ya Mtandaoni

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.