Aouar: Mbona Safi Tu Hapa Hapa Lyon.

Houssem Aouar amesema jinsi anavyo jivunia kuichezea Lyon baada ya mpango wa kwenda Arsenal kutofanikiwa wakati wa dirisha la usajili.

The Gunners walikuwa katika tetesi kubwa za kumnasa kiungo huyo wa Ufaransa Aouar lakini mwishowe klabu hiyo ya jijini London ilimgeukia Thomas Partey aliyekuwa mmchezaji wa Atletico Madrid.

Wakati mchezaji mwenzake wa Lyon Memphis Depay akiwa kama amevurugwa kwa kutofanikiwa kwenda Barcelona, Aouar amesisitiza yeye kuendelea kubaki Lyon amefurahi wala hana wasiwasi.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 ambaye pia alikuwa akihusishwa na miamba ya LaLiga, Real Madrid anamkataba na Lyon mpaka 2023.

“Kulikuwa hakuna umuhimu kwenda Arsenal au klabu nyingine yoyote ,” Aouar aliiambia Telefoot.

“Ni dhahiri, tulifanya maamuzi na nina furaha kuwa hapa. Nina furaha kukaa Lyon.

“Ni jiji langu, ni klabu yangu – najivunia kuiwakilisha Lyon.

Aouar kwa sasa anamajukumu katika timu ya taifa ya Ufaransa na anatarajia kushinda mchezo wake wa pili dhidi ya Ureno katika mashindano ya Nations League siku ya Jumapili baada ya kucheza mchezo wake wa kwanza kwa Les Bleus siku ya Jumatano kwa kuilaza 7-1 timu ya Ukraine.


Weka Pesa kwa Airtel Money!

Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!

Soma Zaidi

30 Komentara

    Kam mchezaji kambi popot

    Jibu

    Arsenal wamekua wagum kutoa pesa kwa maprofesheni kama hawa

    Jibu

    Aour abak kwn The gunner wameshindwa kufik dau kwa mchezaj huyo

    Jibu

    dhahiri, alifanya maamuzi na ana furaha kuwa hapa Lyon.

    Jibu

    Maamuzi yake Ni mazuri
    Kila la kheri

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Yuko sahihi

    Jibu

    kambi popote kijana

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Kipige hapo hapo Lyon

    Jibu

    Yuko sahihi kabisa

    Jibu

    Aouar haipambanie tu Lyon maisha popote hinawezekana dilisha likifunguliwa hanaweza kupata usajiri arsenal

    Jibu

    Fundi mmoja. Karibu man utd#meridianbettz

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Arsenal mnakwama wapi jamani

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Piga kazi popote cha msingi maslahi tuu

    Jibu

    Hapo Lyon mbona pazuri tu

    Jibu

    Kambi popote kila lakheri kwake

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Riziki popote

    Jibu

    Aouar amejijengea jina kubwa sana ndani ya Lyon ni wakati mwingine tena kuongeza juhudi ili kupata dili nono zaidi, Arsenal kwanza timu mbovu bora hajaenda

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Tunaheshimu maamuzi yake

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Maisha popote

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Hata m naona

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.