Chelsea "Hakatwi Mtu Mshahara"

Wachezaji wa klabu ya Chelsea hawatakatwa mishahara ili kuchangia klabu kipindi hiki cha Janga la Corona, lakini “itaendelea kusaidia wenyewe changamoto mbalimbali”.

Imeripotiwa kuwa timu ya wanaume itakatwa 10% mwezi huu.

Lakini taarifa ya klabu imesema “mazungumzo ya kina yamefanyika kujaidili ni vipi timu itachangia.

Bodi ya Chelsea imewaambia wachezaji wake kuendelea kuchagia misaada ikiwemoo NHS.

“Wakti huu, timu ya wanaume haitachangia klabu kiuchumi lakini bodi imewataka timu ielekeze nguvu zake kwenye kwenye kutoa misaada,” taarifa imesomeka.

“Tunashukuru timu yetu, imekuwa mstari wa mbele kusaidia shughuli za jamii lakini pia wametoa misaada kwa wenye matatizo mbalimbali lakini pia wachezaji kusaidia nchini kwako kwakutumia Mfuko wa wachezaji wote pamoja na NHS.”

Mazungumzo yanaendelea kati ya klabu na Klabu na Wachezaji, ambao wanawakilishwa na nahodha Cesar Azpilicueta.

Wachezaji walipewa ofa ya kukatwa chini ya 10% imeripotiwa kwenye vyombo vya habari, lakini bado maamuzi hayajafikiwa baina ya wachezaji na klabu.

Chelsea pia wamethibitisha kuwa hawatotumia mfuko wa serikali wa kujikimu watalipwa watumishi wake mshahara kamili.

“Hatuna mpango wa kupunguza wafanyakzi au kupunguza malipo, wafanyakazi wote wataendelea kulipwa 100% ya mishahara yao,”

2 Komentara

    Asante meridian kwa habar za kimichezo

    Jibu

    Mmh hatari.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.