EPL Kupima Wachezaji kabla ya Ligi Kuendelea

Msimu Ligi Kuu ya Uingereza utaendelea pale tu, kila mchezaji atakapopimwa virusi vya Corona,” amesema Mtendaji Mkuu wa Chama cha Makocha kwenye Ligi(LMA) Richard Bevan.

Kutokana na mlipuko wa virusi vya Corona Duniani kusimamishwa kwa Ligi nyingi ikiwemo EPL sasa kabla kurejea ni vyema kila mchezaji apimwe.

Lakini Richard Bevan amesema “vipimo vinatakiwa kwanza vipatikane kwa wafanyakazi wa NHS na wagonjwa.

“Hilo likifanyika, kwa namna yoyote tunaweza kuipata huduma hiyo kwenye michezo,”.

“Tutarejea uwanjani lakini afya ya mchezaji ni jukumu letu lazima tuunge juhudi za serikali kutokomeza Corona, hivyo ni muda wa sisi kuchukua tahadhari. Ni lazima kila mmoja apimwe kabla ya kurudi uwanjani,”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.