Legendari wa Arsenal, Thierry Henry alipiga goti kwa dakika nane na sekunde 46 kama taarifa ya kuunga mkono juhudi za Black Lives Matter.
Henry alikuwa kocha wakati Montreal Impact wakicheza dhidi ya New England Revolution kwenye Ligi ya MLS wakati Ligi hiyo inarejea alifanya kitendo hicho kwaajili ya kumuenzi George Floyd.
Alivaa T-shirt ya ‘Black Lives Matter’ , Kocha wa Montreal alipiga goti kwa dakika 8:46 za mwanzo katika mechi.

Kwa muda huo inasadikika ndio afisa wa polisi Derek Chauvin ndio alipiga goti kwenye shingo ya Mr Floyd iliyopelekea kifo chake.
Henry alifunga magoli 228 akiwa Arsenal na kuisaidia kushinda mataji mawili ya Premier League, ikiwemo msimu ambao hawakupoteza mchezo wowote na Makombe ya FA mara mbili.

Pia alitwaa Champions League na Klabu Bingwa Dunia akiwa na Barcelona na huu ndio msimu wake wa kwanza akiwa kocha wa Montreal Impact.


Omary lukumbi
Ni zaid ya upendo na kuunga mkono harakati za kupinga mauaji ya watu weusi dunian henry alie na rekodi mzr kwenye maisha yake ya soka
Dorophina
Floyd atakumbukwa daima kwa ukatili waliomfanyia
Adelta
Ni zaidi ya upendo
Genia Sikaluzwe
Floyd amefanya vizuri kuonyesha kujali na kumkubuka
Genia Sikaluzwe
Henry amefanya vizuri kuonyesha kumujali na kumbuka
farida ahmadi
Ni upendo usiohadithika Henry ameonesha ni jinsi gani hana upendo wa aina yake hakika utakumbukwa daima na milele Floyd
Khadija
Safi sana henry ndio ishara ya kumuenzi#meridianbettz
warda
Kumbe Bado Mambo yanaendelea#Meridianbettz
Zeiyana
Watu wengi wameumizwa na kitendo alicho fanyiwa George ni ukatiri ambao hauwezi kufutika nchini marekani lakini kwa kitendo walicho fanya wanachi kwa kupunga unyanyasaji huo sijui kama hutajirudia tena r i p George floyd
Sylvester
Kifo alichokufa Floyd kweli kinasikisha sana na bado kitaendelea kuishi kwa wanamichezo na wengine duniani,safi sana Henry your the best
Lydia Emmanuel Magoti
Henry anamoyo wakipekee nizaidi ya hupendo mungu amzidishie
Ester jackson
Kwa tukio ambalo lilitokea kwa ubaguzi wa rangi watu wengi hatujapenda mana wote ni binadamu hivyo Siku zote tutalikumbuka hilo kwa ajili ya kupinga ubaguzi wa rangi safi sana Henry
Mariam mtandama
Aliuwawa kikatiri sana
Amani
Siku zote tutalikumbuka hilo kwa ajili ya kupinga ubaguzi wa rangi safi sana Henry
Sadick
Ubaguzi unaharibu maisha ya watu kiuchumi , kisiasa , kijamii na kisaikolojia. Ni jambo jema kuchukua hatua zinazochukuliwa kuonyesha kuguswa nalo lakini pia kuna hatua kubwa kuchukua kufikia Ulimwengu usio na Ubaguzi kabisa#meridianbettz
felister
justice for george
fatumakasom
Safii amefanya vizur kumkumbuka
Neema juma
Aise kafanya vizuri mno
Theckla
Ni vyema kuendelea kupinga ubaguzi wa rangi
Revina
Ni kweli ubaguzi unafanya uchumi unashuka na maendeleo hayapo kutokana na hivyo Henry kufanya jambo ilo hakuna mtu mweusi ambae atakataa kumuunga mkono na nafikiri wachezaji wengi walikuwa hawalikubuki ilo lakini kawatoa usingizini kila mtu amemuunga mkono kwa jambo kubwa kama ilo ,big up Henry.
Latifa juma mohamed
Safi kumbukumbu nzur
Magdalena
Huu ndo unaitwa umoja na mapenzi ya dhati
Rehema
Kafanya vizuri mno
lombo
saf
Hamidu
Safi legend Thierry herny#meridianbettz
Caroline
Vizur sana tupinge ukatili dhidi ya watu weusi.#blacklivesmatter
Shafii
Ni jambo zuri Sana kwa black peoples.
Samiah
Big up sanaaa
Sabrina
Maoni:Henry amejiwekea kumbukumbu nzuri kuonyesha upendo
mwajuma
Safi#Meridianbettz
JULIANA
Ubaguzi sio poa,atakumbukwa daima
Njiku
Safii sana henry
Gabriel
Habar njema sana 👍
Ernest
Ubaguzi wa Rangi juu ya ngozi nyeusi ni mapigano ya muda mrefu sana
Issa
Ubaguzi wa rangi ni kitu cha kupingwa kote ulimwenguni
Saupha mohamed
Huo ni upendo wa hali ya juuu ..safi henry
Furahav
Safi
neema hassan
Amefanya Jambo la maana sana
tumaini
Maoni:safi
Franky
That nic news
Edgar
Safi sana heshima kwake
Nasra
Kafanya kitendo cha heshima sana
devotha
ni zaidi ya upendo kwa kile alichokionesha watu wengi waliumizwa na kitendo alichofanyiwa Floyd
Hope mwaikuka
Uungwana ni vitendo
Isaya massawe
Kafanya jambo zuri sana
David Pere
Mpaka eataelwa tuuu
mwakalosi
the living legend appreciate
Flomena
Henry ur the best bro Nikitendo kibaya Sana kilichotokea kwa Floyd .
Povel tz
Black lives matter
Amiri Kayera
Nguv moja
Salma
Vizuri