Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Mo Dewji amewaahidi wachezaji wa mamilioni ya pesa ikiwa kama wataifunga Yanga Jumapili kwenye nusu fainali ya Kombe la FA.

Itakuwa ni mara ya tatu kwa miamba hiyo ya Ligi Kuu Tanzania Bara kukutana kwa mwaka 2020 kwani walikutana kwa mara ya kwanza Januari 4 na Machi 8.
Mechi ya kwanza ya Ligi ilimalizika kwa sare ya 0-0 kwa ya Yanga kushinda mechi ya pili kwa Freekick ya Bernard Morrison.

Dewji amewaahidi zawadi wachezaji ikiwa watashinda basi kuna $100,000 ambayo ni sawa na TSh230M watapatiwa ikiwa watashinda dhidi ya wapinzani wao.
“Chukua kutoka kwangu, wachezaji watakaoanza mechi watapatiwa mgao sawa wa $100,000 na suala limebakiwa kwa wale watakao tokea benchi bado halijaamuliwa,” alisema moja ya viongozi wakubwa ndani ya Simba lakini alikataa kutajwa jina, Chanzo Mwanaspoti.


Genia Sikaluzwe
Habari jema sana kwa wachezaji wa simba
Zeiyana
Ndio maneno yake mo sasa izo ela zake aziandae kujifutia machozi
neema hassan
Habari nzuri
warda
Jamani Ningekuwa Mie Ningecheza Mpaka Nivunjike Kiuno#Meridianbetz
Khadija
mh!!mashabiki wa simba kweli mtaoga pesa zenu hau ndio zitakuwa lesso ya kufutia machozi#meridianbettz
Ester jackson
Wana simba kama nawaona hapo wanavyo haha kama wamepewa tiketi ya maisha marefu ila muache ubaguzi na hao walio kuwa hawana namba pia muwape sio wanaoingia uwanjani tu ila mungu sio bahati nasibu yanga itashinda tu
Lydia Emmanuel Magoti
Huo mtanange sio wakuongea mechi Simba nayanga haitabiliki kwaii tunasubili iyo taree 12 mpila uwanjani Nani ataibuka bingwa wamabingwa kwenye mtanange huo
Mwanahamisi
Habari njema kwa Wana simba
Sylvester
Yanga kutoka kwenye mechi hii ya Watani wa jadi tarehe 12 itakua ni ndoto za alinacha kwani Simba hawatarudi nyuma kamwe kwa hyo Yanga wakiandae kipigo kisichopungua goli 3 pamoja na huyo mchezaji wao naweza sema ndio tegemeo lao la ufungaji kurudi Morrisson ila wataambulia kipigo cha mbwa mwizi.
Amani
Yanga wanakufa goli tatu Simba wanakuwa mabingwa Tena wa FA meridianbettz
Adelta
Habari nzuri Sana kwa
Mashabiki wa simba
Sadick
Hapa ndio tatizo linapoanza kwamba bila kuhamasishwa na pesa wachezaji wetu hawajitumi! Wachezaji na viongozi wajue majukumu. Mpaka leo Yanga wanatembea kifua mbele kisa kuifunga Simba!Tunatakiwa kuvuka hapo,twende mbele zaidi#meridianbettz
Dorophina
Najua yanga hatutashindwa kuwapiga simba mpaka wa bustiwe ndo wanajitahidi kwabidii
felister
Simba kumfunga yanga iyo ni ndoto ya linacha
Theckla
Mpira dk 90
Neema juma
Hizoo pesa ajiandae kurudiii nazo. Hapa simba hamfungi yanga
Revina
Ni habari njema kwa timu ya simba na wataweza kufanya vizuri kama wenzao Yanga walihaidiwa hivyo na wakafanya vizuri
Samiah
Kipindi chakwanza magoli mengi
Latifa juma mohamed
Mpira mwamuz dakika 90 , kwa upande mwngn habari njema kwa wachezaji wa Simba kuongeza juhudi na maarifa wawapo uwanjan dhidi ya mtani wao wajadi yanga, all in all yanga in my blood ,more effort chama lng,hizo kelele za chura hazimfanyi tembo kunywa maji .
Mariam mtandama
Habari njema kwana simba
Magdalena
Simba nawaaminia ushindi mtaupata
Rehema
Nawapa pole San mashabiki wa Simba yanga ya zamani sio ya sasa ngoja muone naamin ushindi wa yanga tuuu
lombo
simba juuuu
Hamidu
Simba babalaoooo
Tatu
Sijui itakuwaje hyo siku ya jpili
Caroline
Há há há mtasubiri sana
Shafii
Sidhani Kama hamasa hii ya kuwaidiwa pesa itazaa matunda Siku zote naamini dk 90 ndizo zitakazo zungumza sio ya kukosa hii.
mwajuma
Simba ndio mpango mzima#Meridianbettz
Sabrina
Maoni:Mpira dk 90 wachezaji wa simba wanaweza kuzisikia kwenye bomba hizo $100,000
JULIANA
Mchezo pesa, this is simbaaaaaaa
Njiku
Ipo poa sana kwa simba hii
Hidaya
Yanga kufungwa lazima
Ernest
Je hakuna neno lolote kwa wachezaji kutoka kwa wazee wa Bakuli??!!!
Gabriel
Itabid wajipange sana maana hata yanga GSM nao wametoa fungu kubwa kushinda wao hivyo sio Jambo jepesi Kama wanavyochukulia ni ngoma ngumu hatar
Franky
Nice nwes
Issa
Ni ngumu
Saupha mohamed
Simba IPO vizuriii
Furahav
Yanga lazma afungwe tu.
farida ahmadi
Hongera Sana Simba tunafurah Sana mashabiki wenu muendelee kukimbiza hivyo hivyo musituangushe
Edgar
Hahaha wataweza sasa..😲😲😲
Nasra
Haahaahaa yanga wanatia huruma kweli
Tahiya
Simba ina kila sababu ya kuibuka na ushindi timu nzur wachezaji wako vyema na pesa ipo pia
devotha
Mo anatamani kuona simba wakishinda dhidi ya yanga ila mpira dakika 90 tutaona matokeo
Hope mwaikuka
🕗
Omary lukumbi
Hii mechi itakua kufa na kupona maana hii mechi inaleta hamasa na uhasama kwa mashabiki wa timu hzi mbili kumpa mtu kitu kwa ajili ya kitu ni kumpush afanye zaid ni sawa na kumpa motisha tuu GSM nadhan hata wao wame waahid yanga
Isaya massawe
Simba ana kikosi kizur lakin akifika kwa yanga anapiga saluti
David Pere
Sasa wampige yanga wachukue hizo pesa
tumaini
Maoni:habari jema kwa simba
mwakalosi
hawa kandambili lazima wafe tu
Flomena
Dewji amewaahidi zawadi wachezaji ikiwa watashinda basi kuna $100,000 ambayo ni sawa na TSh230M watapatiwa ikiwa watashinda dhidi ya wapinzani wao.
Samira
Simba wapo vizuri
Povel tz
Duh habar njema kwa wachezaj wa SIMBA Wana wamsimbaziii
Amiri Kayera
Motisha lzm watauana uwanjani
Salma
Wakat ni wao