Pogba Ndiye Hamasa United kwa Solskjaer

Meneja wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amesema kuwa wachezaji wote wanapaswa kutumia maneno ya Paul Pogba kama hamasa katika mapambano ya kutwaa taji la Premier League.

Man United wamefanikiwa kufikisha mfululizo wa mechi 17 sasa bila kupoteza baada ya kupata ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Aston Villa Alhamisi.

Pogba alizungumzia mpango wa Man United ulikuwa ni kutwaa taji, kitu ambacho kwa mara ya mwisho wamefanikiwa msimu wa mwaka 2012/13.

Meneja Ole Gunnar kwa upande wake anaamini kuwa klabu inaweza kurejea kuwa vinara wa EPL, lakini anasema itakuwa mda gani hilo ni suala la wachezaji kuamua. Jitihada za kila mwanatimu zitaleta mabadiliko kikosini na kwenye ligi.

“Nina uhakika tutapita changamoto hii na kurejea kuongoza kwenye ligi… Tumeendelea kuwa bora kama timu, tunatakiwa tukumbuke tumetoka mbali sana msimu huu.”

Akisisitiza nafasi ya kila mchezaji, alimtumia Pogba kusema kuwa maneno yake yanatakiwa kuchukuliwa kwa uzito kama hamasa katika mapambano ndani ya EPL na bila shaka watatoboa.

 


Unafurahia kubashiri michezo gani?

Yote unaipata hapa Meridianbet

Bashiri Sasa 

 

47 Komentara

    Kweli Kabisa Pogba Anatia Hamasa Sana Nawapenda Man U#Meridianbettz

    Jibu

    Yah yupo vizuri Pogba anajua anacho kifanya

    Jibu

    Yupo sasa kocha anajua anacho kiwaza pogba

    Jibu

    Pogba namkubali sana

    Jibu

    Ni Changamoto kubwa waliyoipia toka msimu wa 2012/2013 kwa kutwaa mataji,imekua misimu wa timu kuwa bora kwa kupanda na kushuka kusipokua na mpango maalumu ila kwa kikosi cha sasa na uwepo wa Ole nina imani msimu ujao Manchester itakua moto wa kuotea mbali na kuweza kushika nafasi ya kwanza na kutwaa ubingwa tena.

    Jibu

    Mashetani wekundu wana mlali sana msimu huu ukiangalia ni kweli changa moto kubwa waliyo pitia man united ulikua kutwaa taji ni kitu amabacho kwa mara ya mwisho wamefanikiwa msimu wa mwaka 2012/2013

    Jibu

    Pogba namkubal Sana
    Ni mtu anayejitambua sana

    Jibu

    Tangu wakati ule hapa katikati mambo yamebadilika sana.Man City na Liverpool zimepata Waalimu na Wachezaji wazuri wakati huo Man U ilikosa muunganiko huo. Kwa sasa kuna wachezaji wazuri kunahitajika Kocha kuwa na hamasa na nguvu ya kufanya kazi yake yote yatawezekana kurudia enzi za ushindi na kubeba makombe#meridianbettz

    Jibu

    Ndiomaana mashabiki wa man u hatutaki pogba haondoke anajua nn anakifanya kwenye timu na anamchango mkubwa tu

    Jibu

    big up pogba

    Jibu

    Yuko sahihi

    Jibu

    Pogbaa ni mfano wa kuigwa namkubalii mno

    Jibu

    Ni kweli kabisa Pogba ndiye Hamasa man u ,na sasa Man u ya sasa inakaribia kuwa kama ile ya mzee Alex

    Jibu

    Pogba anajitambua na yupo vizur

    Jibu

    Anajitambua na mfano wa kuigwa pogba

    Jibu

    Pogba amekuwa ni mtu mwenye uwezo wa tofauti Sana katika mpira na ndie mchezaji mwenye kujituma Sana apo United

    Jibu

    Ni kweli Yuko vizuri na ndio maana mashabiki wa man u wanapenda pogba aendelee kubaki man hii wabebwa vizuri

    Jibu

    Pogba amekua mfano wa kuigwa

    Jibu

    saf

    Jibu

    Kiungo fundi hatabaki kuwa juu muda woteeeeeeee yajao yatafurahisha

    Jibu

    Fundi anajuwa Sana kujituma anapo kuwa uwanjani

    Jibu

    Pogba anajituma sana

    Jibu

    Habari njema kwa wana man u.

    Jibu

    Namkubali sana pogba na anatia amasa kweli #Meridianbettz

    Jibu

    Anaepinga anifuate, Pogba mashine

    Jibu

    Paul lamile pobga ni mchezaji mzuri sana na anahamasa akiwa uwanjani pia anajituma sana na analeta matokeo akiwa uwanjani tangia kurudi kwake man u kutoka kwenye majeruhi man u inafanya vizuri zaid na combination yake yeye na bruno ipo poa sana kupambana ili kuikamata top4,

    Jibu

    Ana jambo uyoo

    Jibu

    Maoni:Paul Pogba mkali wao

    Jibu

    Pogba leo anaonekana shujaa wakati miezi mitatu nyuma alikuwa akitupiwa maneno machafu, Me binafsi natamani kuona Pogba akitimka ndani ya Man U.

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Good

    Jibu

    Kwel kabisa

    Jibu

    Pogba anajua ni swala la timu kukaa pamoja kuelewana

    Jibu

    Safi pogba

    Jibu

    Kweli kabisah Pogba ni mchezaji mzuri Sana na ameisaidia man United kwa kiwango lazima kocha wake aseme ukweli

    Jibu

    Kweli kabisa maana nw mambo yamekuwa mazuri kabisa kwa man u.. na hii yote inatokana na combination nzuri ya pogba na Bruno.. so pongezi kwake pogba

    Jibu

    Ni vizur kuwa na imani na timu yake watafika wanakotaka

    Jibu

    Pogba mfalme ajaye old traford

    Jibu

    Sawaa

    Jibu

    Ole gunnar amekua na furaha sana kwa kiwango cha timu mzima na jitihada za mchezaj mmoja mmoja pogba na bruno na wachezaj wengine wameirudisha United kwenye uhai tena

    Jibu

    Hamasa ipo kwelikweli Ndio maana anazidi kufanya vizuri

    Jibu

    Pogba ni mchezaji mzuri

    Jibu

    huyu alikuwa anatusumbua kila siku anataka kuongezewa mshahara huyu ole asilete ujinga sasa ataondoka na pogba wake

    Jibu

    Nina uhakika tutapita changamoto hii na kurejea kuongoza kwenye ligi… Tumeendelea kuwa bora kama timu, tunatakiwa tukumbuke tumetoka mbali sana msimu huu.

    Jibu

    Kocha anaonekana ana mahaba na labile Pogba

    Jibu

    Pogba anaujua san

    Jibu

    Kwel kabsaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.