Mayele: Tabu Ipo Palepale

BAADA ya kurejea mazoezini, Mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele amefunguka kuwa ataendelea na staili yake ya kutetema hivyo tabu itakuwa pale pale.

Mayele ni miongoni mwa wachezaji waliochelewa kuingia kambini Avic Town, Kigamboni kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23.

Akizungumzia maandalizi yao, Mayele amesema kuwa “Nimerudi kambini na tumeanza kujiandaa na msimu mpya nina hamu sana ya msimu ujao kwahiyo siwezi kubadilisha staili yangu ya kushangilia

“Tutaendelea kutetema kama tulivyokuwa tunafanya kwa msimu uliopita tabu ipo pale pale.

“Ni kweli timu zilinifuata lakini mimi ni mchezaji halali wa Yanga na nilisaini mkataba wa miaka miwili hivyo kwa sasa umebakia mmoja.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.