Mkataba wa Ramos utamalizika mwisho wa msimu 2020-21,kwa kipindi hicho Ramos atakuwa amefikisha umri wa miaka 35.

Walakini,Mijatovic hajamzuia Mhispania huyo kubakia katika klabu bali itakua ni vyema kama ataendelea kubaki katika klabu ya Madrid inaweza kumpa nafasi ya kufundisha kizazi cha baadaye akiwa hapo Los Blancos.
“Hatuwezi kuvumilia kuacha wachezaji wetu kwenda kusaidia timu nyingine, kwasababu wanatakiwa wawe wa kwetu,”Mshambuliaji huyo wa zamani wa Real Madrid aliiambia Stats Perform New.”Ningependa hii sera tuirudishe kwenye klabu yetu.
“Kwa bahati mbaya hili jambo halipo katika klabu ya Real madrid.Raul ana historia kubwa Real Madrid na aliondoka katika mazingira mabaya, Fernando Hierro yeye pia hivyo hivyo, Casillas pia.

“Sasa wanazungumzia kuhusu Sergio Ramos kufanya kitu kile kile.Mkataba wake unatakiwa kuongezwa , miaka mili au mitatu, haijalishi. lakini huyu mtu anatakiwa kumaliza Soka lake akiwa na Real Madrid.
Madrid pia walimuacha Christiano Ronaldo kuondoka Bernabeu kwenda Juventus 2018, pia watamuacha Luka Modric anayetimiza miaka 35 mwezi Septemba.
Wachezaji wote walikua na mchango mkubwa katika kupata ubingwa wa Champion League mara tatu mfululizo wakati Zinedine Zidane alipo pewa timu kwa mara ya kwanza.
“Kama ninge kuwa katika klabu nisinge ruhusu wachezaji kama Christiano Ronaldo,Sergio Ramos na Luka Modric kuondoka katika klabu” Mijatovic aliendelea.
“Hao ni wachezaji ambao wanaweza kuwa na matokeo chanya kwa vijana watakao kuwa wanachipukia.


Amiri Kayera
Sawaa Kwa umri wake na mafanikio aliyopata amalizie t pale mpila wake
Issa
Lazima amalozie Madrid amna pengine
Ally mohamedi ally
Yupo vizur sana
Ester jackson
Itakuwa vinzuri kama Ramos atakubali kumalizia hapo mpaka kustafu kwake itakuwa powa sana no wachezaji wachache ambao timu zao hupenda wabakie katika soka lao
Zeiyana
Ukiangali lomos ni beki mzuri pia ni mshambuliaji tokea hajiunge na Madrid tumeona mchango wake mkubwa sana
Njiku
Mijayovic yupo sawa kabisa
Gabriel
N kwel kabisa na ukiangalia ramos n beki mzur pia n mshambuliaji na tokea ajiunge na Madrid tunaona mchango wake mkubwa sana mijatovic anachokizungumza kikosahihi kabisa kwa beki hiyu kwan tunaweza kumuita beki kisiki ambaye sirahis kumpita akuachie kuingiza nyavu na ameonyesha mapenzi na timu yake hivyo anauwezo wa kubaki las Blanco’s kuendelea kufundisha
Frank Patrick
Full back kisiki
Povel
Ramos fundiiiii wa mpra
David Pere
Ramos Madrid ameifanyia Mambo mazuri naye ameifanyia Mambo mengi mazuri .ni lazima amalizie mpira wake pale
Khadija
Itakuwa vizuri sana kama Ramos atakubali kumaliza hapo hadi kustafu kwake#meridianbettz
Salma
Mawazo yake ni mazuri
Omary lukumbi
Ni litakua jambo zur pia sabab ameitumikia kwa moyo mmoja kwa wachezaj ramos ndio.mwenye Madrid yake pia itakua furaha sana siku atakayo staafu akiwa.Madrid na mamillion ya watu wakimuaga kwa heshima
Neema
Naona atakuwa fundisho la vijana wengine watakao kuwa tayari kufundishwa na yeye watakuwa wachezaji wazuri mno
Samiah
Hilo litakuwa fundisho
Fatuma kasomo
Itakua jambo nzuri ametumikia kwa moyo mmoja
Mwanaidi
Ni kweli amalizie hapo
mwakalosi
hilo halina ubishi Madrid hawako tayar kumruhusu japo ana umri mkubwa
Tahiya
Litakuwa ni jambo nzur kwa Ramos kustaafu mpira akiwa hapo
Antony Luseno
Bila shaka atastaafu akiwa Madrid na uenda sanamu lake likawepo pale Santiago
Mwanahamisi
Yupo vizuri sana
Emmy cleopa
Ramos yuko vizur tu
Devotha
Ramos yupo vizuri sio mbaya kama atastaafu akiwa madrid
Genia Sikaluzwe
Ramos yuko vizuri hana tamaa km wengine
Rehema Dickson
tokea hajiunge na Madrid tumeona mchango wake mkubwa sana kwenye timu na kujituma haswa
felister
Ramosi ana miyeyusho fulani ivi sema namkubali sana
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo sahii Ramosi
Ester mmakasa
Kama anafanya vizuri amalizie hapo itakuwa poa sana.
Mariam mtandama
Yupo vizur
Elika
Hayo ni mawazo yake mwenyewe kaamua kumalizia soka lake hapo
Johnmary joel
Taarifa nzuri hii borawalipoamua kumuacha aendelee#meridianbett
Caroline
Ramos malizana Kwanza na Madrid.ndo uendelee na mambo yako
Dorophina
Ni wazo zuri kumalizia umri wake hapo mpaka atakapo staafu
Samira
Ramos ni kweli atamaliza akiwa madrid kwani timu yake inamuitaji sana
Rehema
Yaan huyu mshikaji Ramos ni jembe
Evaluziga
Yupo vizuri sana
Magdalena
Ramos unaondoka madrid kwenda wapi Tena Baki tu apo apo
Neema hassan
Maamuzi sahihi#meridianbettz
Kenani
Mtu mbaya
Sadick
Real Madrid ni Club ya wanachama hivyo anayetakiwa kupata nafasi ni mwanachama mwenzao#meridianbettz
Hamidu
Ramos beki hodAri! Nenda katafute changamoto nyingine #meridianbettz
Shafii
Ninakubali mtazamo wake ni kweli Ramos atamaliza career yake akiwa clubuni hapo
Furahav
Itakuwa vyema km watamuongezea mkataba.
Amani
Club ya wanachama hivyo anayetakiwa kupata nafasi ni mwanachama mwenzao#meridianbettz
Theckla
Hakika Ramos yuko sahihi kwani kaitumikia vema kilabu yake
Hope mwaikuka
Ramos yuko poa sana
Sabrina
Maoni:Mijatovic anasema kweli kabisa
Edgar
kabisa yupo sawa
Ernest
Itakuwa Bonge la heshima kwa Ramos
warda
Mijatovic Ameongea point sana #Meridianbettz
Theonestina
Yupo vizur
Asia Abdy
Ni kwel kabisaa
Angelina
Uamuzi mzuri
Tatu
Yupo vizuri