Tottenham wamepanga kumsajili Pierre-Emile Hojbjerg kutoka Southampton kwa £20m tu msimu huu wa joto, kulingana na ripoti nchini Denmark. Hojbjerg amecheza mechi zaidi ya 100 za PL Kwa Southampton.
Pierre-Emile Hojbjerg alizaliwa tarehe 5 Agost mwaka 1995 ni mwana soka wa Denmark ambae anacheza kama kiungo katika klabu ya Southampton inayo shiriki ligi kuu ncini Uingereza.

Alicheza kama kijana kwenye timu za vijana za Bk skjold, Fc Copenhagen na Brondby If kabla ya kujiunga na klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani mwaka 2012.
Akiwa Bayern amecheza mechi 25 na alishinda makombe mbali mbali ya Ujerumani na kimataifa akiwa na Bayern na baadhi ya timu alizocheza kwa mkopo kama FC Augsburg na Schalke 04, Mwaka 2016 alisaini kandarasi ya miaka mitano kuihudumia Southampton kwa ada ya milioni 12.8 milioni.
Inaripotiwa kuwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ni ‘yupo mbioni’ kujiunga na klabu hiyo ya kaskazini mwa London baada ya kufichua hamu yake ya kujiunga na klabu yenye uwezo wa kufuzu Ligi ya Mabingwa.

Lakini Watakatifu wanataka kitita cha pauni 35m kwa kiungo huyo, ambaye amenyang’anywa unahodha, lakini Spurs wana matumaini ya kuhitimisha mpango kwa bei nafuu kwa Hojbjerg, ambaye atakuwa akimaliza mkataba wake huko St. Mary’s mnamo 2021.


Amiri Kayera
Mchezaj mzur sana atawasaidia wakimpata
isha
Msajilini tuu kwani umri wake unaruhusu
Issa
Atasaidia pia akiwa na akina keane watafanya vizuri
Frank Patrick
Southampton team ya wapiga hela za kuuza wachezaji
Njiku
Iko poa sanaa na mchizi yupo poa
Ester jackson
Itakuwa vizuri mana wapo ambao mpaka hasaivi bado hajajua yuko wapi
Povel
Utakuwah vzr sana jamaaa fundi sana
Gabriel
Iko poa sana
David Pere
Ni vizuri kuongeza nguvu kwenye kikosi mapema maana msimu huu umekuwa mrefu sanaa
Salma
Good
Omary lukumbi
Namjua morinho anataka watu wa kazi maana hapend chipukiz ukisajiliwa na morinho hali ya kua ni kinda ujue una bahat siku zote yeye ana dili na wagumu anapenda sana wachezaj wenye maguvu mengi
Samiah
Morinho yupo vzr hapendi ubabaifu
Fatuma kasomo
Iko poa
Mwanaidi
Habari nzuri
mwakalosi
mou kupenda watu wagumu wagumu khaa
Mwanahamisi
Habari njema
Khadija
Itakuwa poa sana maana jamaa anajua sana#meridianbettz
Devotha
Mchezaji kinda anaenda kuongeza nguvu spurs naamini msimu ujao kikosi cha spurs kitakua bora zaid
Genia Sikaluzwe
Imeekaa poa
Zeiyana
Tottenham wanajipanga upasavyo na ligi msimu wa pili
Lydia Emmanuel Magoti
Atakuwa vizuri sana jamaha nifundi wa mpira sana
felister
habari njema kwa mashabiki wa suprs
Mariam mtandama
Safi sana
Emmy cleopa
Habari njema
Elika
Pierre Yuko vizur asajiliwe tuu kwa maana bado ana umri wa kazi
Johnmary joel
Yupo vizuri ni mchezaji mzuri#meridianbett
Ester mmakasa
Wamsajili tu maana bado anafanya maajabu klabuni kwao.
Caroline
Aya tusubiri baridi liishe.muendeleze mambo yenu
Dorophina
Yupo vizuri wakimsajili itakuwa poa bado umri wake mdogo
Aziza mushi
Jamaa makini Sana ⛹️ itapendeza wakimsajili
Samira
Pierre yupo vizuri wamsajili tu
neema hassan
Pierre fundii
Rehema
Iko poa
Evaluziga
Msajirini tu umri wake unaruhusu
Neema hassan
Mchezaji mzuri awapo uwanjan
Magdalena
Itapendeza Sana wakimsajili uyu kiungo
Kenani
Hiki ndo tulichokua tunakisubir
Hamidu
Bonge la kiungo.#.meridianbettz
Sadick
Wakati fulani si rahisi kumuelewa Kocha unamuuza jembe Wanyama unamununua Piere Emile kucheza nafasi zinazofanana! Tusubiri kuona kama kamari yao italipa#meridianbettz
Christopher
Hongera yake,
Shafii
Morinho nikocha mwenye mbinu za pekee Mara nyingi anaamini wachezaji anaowataka yeye ndio watakao mletea mafanikio sio wa kuwakuta kwenye timu ngoja tuone kaona Nini kwa pierre
Furahav
Yuko bomba.
Amani
unamununua Piere Emile kucheza nafasi zinazofanana! Tusubiri kuona kama kamari yao italipa#meridianbettz
Theckla
Bora wamsajili kwani jamaa bado yuko vizuri
Tatu
Good
Neema
Habari kabambeee hii
Hope mwaikuka
Ni habar nzur
Sabrina
Maoni:jamaa fundiii
Edgar
ni sawa tu
Ernest
Naona Mourinho nae anataka kuimarisha kikosi chake amekuwa kocha mwenye Lusaka mafanikio katika kila club atakayofundisha
warda
Ni kipindi cha usajili kwa kwenda mbele#Meridianbettz
Theonestina
Msajilini tu.yuko vizur Sana
Asia Abdy
Jamaa anajuua itakua poa wakimsajili
Angelina
Safi
Tatu
Good
Issa
Totenham inabid wafanye usajili sana maan kama wamepotea akiumia kane timu inakuwa mbovu