Kuna ambae hapendi ule mchezo wa kizamani wa kumaliza mpira kwa Masumbwi na vurugu za kusukumana? mtindo huu umekua unafurahiwa hata na wachezaji wenyewe wanapokutana uwanjani, na wengi hua hawezi …
Makala nyingine
Chelsea wamedhamiria kuongeza nguvu zao kwa Beki wa Klabu ya Leicester City, Ben Chilwell baada ya kumkosa Alex Telles kutoka FC Porto ambaye alikuwa ndio target yao namba moja. The …
Mnamo tarehe 24 mwezi February mwaka 1977 katika jiji la Michigan nchini Marekani alizaliwa Floyd Joy Mayweather bingwa wa dunia wa mkanda wa uzito wa kati na mwanamichezo Tajiri zaidi …
Msimu wa Ligi kuu nchini Uholanzi maarufu kama Eredivisie kimsingi umekwisha, kufuatia tamko la waziri wa nchi kupiga marufuku michezo hadi mwezi Septemba. Shirikisho la Mpira wa Miguu la Uholanzi …
Wakati dili la mtoto wa mfalme Mohamed Bin Salman kuinunua klabu ya Newcastle United kwa £300m kutoka kwa Mike Ashley ambae amaimiliki kwa miaka 13. Mpaka sasa dili hilo lipo …
Winga wa Manchester City Leroy Sane, 24, yupo karibu kutua Bayern Munich kwa dau £70m. Vilabu vya Premier League vitakutana Ijumaa kujadili kama msimu utamalizika kabla ya Juni 30. Kama …
Nyota wa PSG, Marco Verratti huenda akawa ametania kusema kuwa karantini kunampa mda zaidi wa mazoezi. Kama maastaa wengine, nyota huyu naye yupo karantini kwa toka ligi iliposimama kwa ajili …
Wajumbe sita wa bodi ya Barcelona wamejiuzulun akumwambia Raisi Josep Maria Bartomeu hawana furaha kwa nmna klabu inavyoendeshwa. Kwenye barua ya pamoja, wajumbe wote sita wameongelea kuhusu kuporomoka kwa hali …
Msimu Ligi Kuu ya Uingereza utaendelea pale tu, kila mchezaji atakapopimwa virusi vya Corona,” amesema Mtendaji Mkuu wa Chama cha Makocha kwenye Ligi(LMA) Richard Bevan. Kutokana na mlipuko wa virusi …
Odion Ighalo amekiri kuwa “hajapokea ofa yoyote mezani” kutoka Manchester United juu ya kusalia klabuni hapo baada ya muda wake wa mkopo kuisha. Mshambuliaji wa Nigeria ameanza vizuri maisha yake …
Mchezaji ambaye msimu uliopita alikuwa ndani ya klabu ya Manchester United na kuonekana uwezo wake umeshuka ikiwa ni tofauti na vile ilivyokuwa awali kwake alipokuwa katika klabu ya Everton, Lukaku …
Wachezaji wa Ligi kuu England (EPL), wamegoma kukatwa mishahara yao katika kipindi hiki, licha ya kuelezwa kwamba klabu zao zitapata hasara ya pauni bilioni 1.137 kutokana janga la virusi vya …
Wachezaji wa Juventus na makocha wamekubali kupunguzwa mishahara kwa miezi minne wakati wa mlipuko wa virusi vya Corona. Makubaliano hayo yana thamani ya pauni 80.7m kama mishahara ya klabu, japo …
Msimu huu wapa! Wazee wa mikeka wameshaandaa kalamu na karatasi kwa ajili ya kuandika hesabu za pesa zao, tunaanzia hapa; Liverpool V Norwich City. Liverpool wanatarajia kufanya vyema zaidi ya …
Nyota wa PSG, Kylian Mbappe ambaye aliwagharimu dau la paundi milioni 180 kwenye uhamisho ameweka wazi kuwa hatarajii kusaini mkataba mpya klabuni hapo. Wakati tetesi za usajili zikipamba moto, haikudhaniwa …
Wayne Rooney ameibuka na kuwachana klabu ya Manchester United kuwa wasipagawe na kukimbilia kusajili wachezaji wenye majina makubwa ambo umri wao umeshaenda kama Cristiano Ronaldo au Gareth Bale akihofia kuwa …
Safari ya matumaini ya Manchester United kumaliza kwenye ligi wakiwa nafasi 4 za juu imeingia doa leo baada ya kupata kichapo dhidi ya Everton. De Gea anakuwa golikipa wa kwanza …
Nyota wa Atletico, Diego Costa amelimwa adhabu ya kukosa gemu 8 baada ya kupata kadi kwenye gemu dhidi ya Barcelona wikiendi iliyopita. Costa alitolewa nje ya gemu kipindi cha kwanza …
Ilikuwa kama stori lakini imegeuka na kuwa historia sasa. Man United wamemkabidhi mikoba ya kudumu kocha wao aliyekuwa anaiongoza klabu hiyo kwa muda, Ole Gunnar Solskjaer baada ya kipindi kirefu …
Nyota wa zamani wa klabu ya Manchester United Wyne Rooney anasema kuwa yeye anaona hakuna mtu yeyote mwingine anayefaa kupewa nafasi ya umeneja wa kudumu klabuni United zaidi Ole Gunnar …