Rafael Nadal:Akiri Kushindwa Us Open.

Rafael Nadal gwiji wa mchezo wa tenesi duniani na mwanatenesi anayeongoza kwa mataji makubwa ya tenesi maarufu kama Grand Slams amekubali kua alizidiwa kwenye michuano ya wazi ya Marekani.

Gwiji huyu mzaliwa wa jijib la Madrid nchini Hispania alipoteza pambano hilo kwenye raundi ya nne dhidi ya Frances Tiafoe ambaye alimmudu gwiji huyo na kumaliza mchezo raundi ya nne tu na Nadal kukiri alikua bora kuliko yeye.

rafael nadalNadal amekiri kutokucheza vizuri mchezo huo na alihitajika kucheza vizuri zaidi ya alivyocheza wakati huo akitoa sifa kwa mpinzani wake huyo kua alistahili kushinda kwakua alicheza vizuri kuliko yeye.

Rafael anaendelea kushikilia rekodi ya mwanaume ya mwanaume mwenye mataji mengi makubwa akiwa na jumla ya mataji 22 mbele ya manguli kama Novak Djokovic mwenye 21 akifuatiwa na Roger Federer mwenye mataji 20.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.