Setien Aunusa Ubingwa wa LaLiga.

Bosi wa Barcelona Quique Setien amekuwa na tumaini la kushinda taji la LaLiga huku akiamini Real Madrid watapoteza alama kwenye michezo iliyo salia.

Licha ya kuwa wanaongoza kwenye msimamo wa ligi ya LaLiga kabla ya msimu kusimama kwa lazima kufuatia janga la Corona, Barcelona wamepoteza alama sita kwenye michezo waliyo cheza tangu kurejea kwa ligi hiyo, na kufanya wekae nyuma ya Real Madrid kwa tofauti ya pointi nne.

Lakini Timu ya Real Madrid inayonolewa na mwalimu Zinedine Zidane wamekuwa wakishinda michezo yote tangu kurudi kwa LaLiga.Lakini Setien ameonekana akipuuzia kukubali kushindwa na akiamini Madrid watapoteza alisema siku ya Jumanne.

 Quique Setien

“Ni kweli tunaweza kushinda LaLiga, Mahesabu yanaonesha hivyo. Tunatakiwa tuwe na tumaini mpaka siku ya mwisho.
“Tunapaswa kuangalia tunaweza kufanya nini ili tushinde, tuwe na hisia nzuri tusikate tamaa na tumalize msimu wa LaLiga tukiwa katika mazingira mazuri ya kuanza msimu mwingine.”

Barcelona wanaendelea na vita ya kutwa LaLiga mpaka siku ya mwisho, ingawa wana nafasi ndogo ya kutwa taji kutokana na alama walizo achwa na Madrid.

Bado wapo kunako Ligi ya Mabingwa Ulaya itakayo endelea mwezi Agosti, kisha kuanza msimu mwingine wa LaLiga.

Kama Barcelona watapata ushindi kwenye mchezo wa debi dhidi ya Espanyol siku ya Jumatano italeta rumaini kama Madrid wakipoteza mchezo unaofuata.

Raisi wa Klabu Josep Maria Bartomeu ana mpango wa kumbakisha Setien mpaka msimu wa 2020-2021.

47 Komentara

    Good news#meridianbet

    Jibu

    Maoni:Hii habari njema

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Nikwel kuishi na matumaini ndo kupambana kwenyewe lakn daaah sio kwa Real Madrid.. Na ukiangalia uhasama na jinsi hizo timu mbili zikikutana uwanja huwa wanakamiana sana, na ndomana naiman Barcelona hawezi chukua ubingwa laliga coz hata Madrid ambaye yupo mbele kwa point nne mbele ya barca hato kubali kupoteza mechi zilizo salia na kumuachia ubingwa Barcelona..

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Adui muombee njaa hiyo

    Jibu

    Ni jambo la kufikirika kama itatokea ni jambo lisilo tarajiwa kwa wana Madrid ila katika Mpira lolote linawezekana.

    Jibu

    Pale laliga ..real Madrid ndo bingwa wao
    Mechi zilizosalia anashinda zote

    Jibu

    Kocha mzur sana

    Jibu

    Hilo bosi wa Barcelona atakua anajidanganya Madrid washamuona mwali huyu hapa hawamuachi mtu yeye aendelee tuu na ndoto zake za mchana

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Hesabu zake hizo kwa Madrid asahau

    Jibu

    Yaani apo ilipofikia ni kuombean mabaya tu

    Jibu

    Mtu kujiamini bhana

    Jibu

    Mtu kujihakikishi

    Jibu

    Ni kocha mzuri sana

    Jibu

    Mtu kujiamini

    Jibu

    Barcelona hawezi chukua ubingwa laliga coz hata Madrid ambaye yupo mbele kwa point nne mbele ya barca hato kubali kupoteza mechi zilizo salia na kumuachia ubingwa Barcelona.# meridianbettz

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Kazeni buti

    Jibu

    Wanaweza kupata Wajitahidi tu#Meridianbettz

    Jibu

    Kocha mzuri sana

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Real Madrid hawaweza kuiachia Barcelona ubigwa kirahisi

    Jibu

    wataweza kweli…?

    Jibu

    Habari imetulia sana

    Jibu

    Ni mawazo yake sio mabaya km ataweza kupambana na real Madrid wakamuachia atakuwa amefanikiwa kiasi kikubwa

    Jibu

    Bado yupo nao mbali Sana hii ubingwa ,kwa Madrid sawa maana mwendo wa wao spid 180 Yani hawakamatiki kabisaaa

    Jibu

    Kujiamini ni jambo zuri wataweza kushinda

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Hongera sana

    Jibu

    Asante Meridianbet kwa taarifa njema

    Jibu

    Mashabiki wa barcelona tutafurahi kama tutaupata ubingwa msimu huu

    Jibu

    Wapamabane

    Jibu

    Yaan hapo ilipofikia ni kuombeana mabaya#meridianbettz

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Barcelona wanaendelea na vita ya kutwa LaLiga mpaka siku ya mwisho, ingawa wana nafasi ndogo ya kutwa taji kutokana na alama walizo achwa na Madrid.#meridianbettz

    Jibu

    madrid ni bingwa haina jinsi

    Jibu

    ukiwa mshindani hautakiwi kukata tamaa, Barcelona lazima achukue ubingwa wa laliga msimu huu

    Jibu

    Atangoja sana

    Jibu

    Duu unajipa moyo wakipambana wataweza

    Jibu

    Hii tunasema Dua la kuku alimpati mwewe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.