Mbappe Aipatia PSG Ushindi wa Kwanza Ligue 1
Kylian Mbappe amefunga mabao mawili na kuiongoza Paris Saint-Germain kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Lens, ukiwa ni ushindi wao wa kwanza katika kampeni za Ligue 1 za 2023-24. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kylian Mbappe amefunga mabao mawili na kuiongoza Paris Saint-Germain kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Lens, ukiwa ni ushindi wao wa kwanza katika kampeni za Ligue 1 za 2023-24. …
Inter wanafikiria kwa dhati kutuma ofa kwa Atalanta kwa ajili ya kumnunua mlinzi Rafael Toloi, na kuachana na Merih Demiral aliyelengwa hapo awali. Nerazzurri ilipoteza walinzi wawili mwanzoni mwa …
Sky Sport Italia wanadai kuwa Inter wako tayari kumsajili Cesar Azpilicueta kama mchezaji huru mara tu atakapomaliza mkataba wake na Chelsea. Beki huyo mkongwe wa Uhispania atafikisha umri wa …
Beki wa Inter Milan Stefan de Vrij amefahamishwa kuhusu vilabu vya LaLiga na wakala wake anapofikiria iwapo ataongeza mkataba wake San Siro. Huku dili la De Vrij likikamilika mwishoni …
Javier Zanetti amesema kuwa Lionel Messi alifanya mazungumzo na Inter kuhusu uwezekano wa kuhamia miamba hao wa Italia baada ya kuondoka Barcelona. Messi aliondoka Barca mwaka 2021 baada ya …
Kulingana na La Gazzetta dello Sport, Mchezaji wa Manchester United Victor Lindelof na Thilo Kehrer wa West Ham pia wako kwenye rada za Inter kuchukua nafasi ya Milan Skriniar anayeondoka. …
Inter wameripotiwa kuanza mazungumzo na Manchester United kutafuta uwezekano wa kumnunua beki Harry Maguire. The Nerazzurri wamempoteza mchezaji wa kawaida wa kikosi cha kwanza Milan Skriniar siku za usoni, …
Baada ya kuonja kipigo kwa mara ya kwanza msimu huu katika kipigo chao cha 1-0 dhidi ya Inter, Napoli wanaweza pia kumpoteza nyota wao Khvicha Kvaratskhelia kwa mechi zijazo, kwani …
Uhusiano wa Kylian Mbappe na PSG umefikia ukingoni, kulingana na ripoti kutoka Ufaransa, kwa sababu anahisi kuwa amesalitiwa na klabu hiyo baada ya kuafiki mkataba mpya msimu huu. Mshindi huyo …
Klabu ya PSG wanaripotiwa kuwa wapo tayari kutoa kiasi cha Euro milioni 150 katika kandarasi ya kumpata mshambuliaji Rafael Leao anaekipiga katika klabu ya AC Milan. Leao mwenye umri …
Milan Skriniar na Denzel Dumfries wa Intermilan wamevutiwa kutoka nje ya nchi, na kulingana na ripoti kutoka Italia, PSG na Chelsea wako tayari kufanya usajili Januari. The Nerazzurri wanatarajiwa …
Tetesi zinasema, Juventus wana uhakika mkubwa ya kumsajili Paul Pogba, 29 bure kutoka Manchester United. Kiungo huyo mfaransa amekubali kusaini mkataba wa miaka minne. Kiungo wa Denmark Christian Eriksen, …
Tetesi zinasema Arsenal wanamtaka mshambuliaji wa Real Madrid Isco, 28, katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari litakapofunguliwa. Kiungo wa kati wa Uholanzi Georginio Wijnaldum, 30, ataamua wiki hii …
Tetesi zinasema Inter Milan watajiandaa kumuuza mlinzi Mslovakia Milan Skriniar, 25, kwa Tottenham kwa pauni milioni 45 mwezi ujao. Tetesi zinasema Mlinzi wa kati wa Uholanzi Perr Schuurs, 21, aliyehusishwa …
Tetesi zinasema Manchester United, na Chelsea zinamfuatilia kwa karibu mlinzi wa Brighton Muingereza Ben White, 23 mwenye thamani ya juu. Barcelona wanafuatilia kwa karibu upatikanaji wa beki wa nyuma wa …
Kwa mujibu wa wakala wa Stefan Savic, Zarco Pelicic klabu ya Inter Milan walihitaji huduma ya mteja wake. Wakala ameweka wazi kuwa klabu ya Inter ilikuwa inataka kumsajili nyota huyu …
Tetesi zinasema kiungo wa kati wa Arsenal Matteo Guendouzi, 21, anatarajiwa kuelekea katika timu ya ligi ya Bundesliga Hertha Berlin, baada ya kuwachwa nje ya kikosi cha timu hiyo katika …
Tetesi zinasema Bayern Munich inafanya mazungumzo na Chelsea kuhusu kumchukua winga wa England Callum Hudson-Odoi kwa mkopo. Lakini Chelsea imekataa dili hilo lililokuwa na kipengele cha kumnunua kwa pauni milioni …
Tetesi zinasema Kocha wa Chelsea Frank Lampard anahitaji klabu hiyo kujaribu kufanya usajili wa kiungo mkabaji wa West Ham United Declan Rice 21 ingawa hakuna dau lililotumwa. Usajili wa kiungo …
Meneja wa Tottenham, Jose Mourinho, anataka kuhakikisha anatengeneza uwiano mzuri wa kikosi chake kwa nafasi zote muhimu anazozihitaji kikosini hapo. Mourinho amesema licha ya kuwa ana wachezaji wengi kwenye vitabu …