Uchambuzi EPL: Chelsea vs Crystal Palace
Wakiwa wametoka kushinda ubingwa wa UEFA Super Cup, Chelsea wanaanza kampeni ya Premier League 2021-22 kwa mchezo wa nyumbani dhidi Crystal Palace leo majira ya saa 11:00 jioni. The Blues …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Wakiwa wametoka kushinda ubingwa wa UEFA Super Cup, Chelsea wanaanza kampeni ya Premier League 2021-22 kwa mchezo wa nyumbani dhidi Crystal Palace leo majira ya saa 11:00 jioni. The Blues …
Klabu ya Crystal Palace imekamilisha usajili wa kiungo Conor Gallagher kutoka Chelsea kwa mkopo wa mwaka mmoja. Utakuwa msimu wa pili kwa mkopo katika Ligi ya Premia kwa …
Aliyekuwa beki wa Chelsea, Marc Guehi amesaini mkataba wa miaka mitano na Crystal Palace, akijiunga na makubaliano ambayo yanaaminika kuwa karibu pauni milioni 20 ($ 28m). Guehi mwenye …
Klabu ya Crystal Palace imeendelea kujiboresha kuelekea msimu ujao baada ya kumalizana na beki wa kati wa Chelsea Marc Guehi kwa kandarasi ya muda mrefu. Guehi anatarajiwa kufanya vipimo vya …
Golikipa wa Crystal Palace, Wayne Hennessy ameondoka rasmi klabuni hapo baada ya mkataba wake kuisha mwezi Juni,2021. Hennessy anaondoka Palace baada ya miaka 7 klabuni hapo. Ameitumikia klabu hiyo kwa …
Klabu ya Crystal Palace imemtangaza rasmi Patrick Vieira kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukua nafasi ya kocha wa zamani wa timu hiyo bwana Roy Hodgson. Crystal Palace ilikuwa ikitafuta …
Klabu ya Crystal Palace ipo mbioni kumtangaza mchezaji wa zamani wa Arsenal Patrick Vieira kama kocha mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Roy Hodgson. Mchezaji huyo mwenye miaka 45 …
Aliyekuwa Meneja wa Borussia Dortmund, Lucien Favre amepiga chini ofa ya kukinoa kikosi cha Crystal Palace dakika za mwisho baada ya kuwa na mazungumzo chanya pamoja. Sky Sport imetaarifu kuwa …
Mchezaji wa kinda wa Chelsea, Conor Gallagher amevutia vilabu vingi baada ya kuwa katika kiwango bora akiwa kwa mkopo katika klabu ya West brom, licha timu hiyo kushika daraja. Gallagher …
Miongoni mwa majina yanayotajwa kurithi mikoba ya Roy Hodgson pale Crystal Palace, lipo jina la Frank Lampard, kocha wa zamani wa Chelsea ambaye hakuwa na wakati mzuri sana kutumia leseni …
Kiungo wa Manchester United – Paul Pogba, kuna uwezekano akaukosa mchezo wa kwanza wa EPL dhidi ya Crystal Palace wiki ijayo. Hii imetokea baada ya kiungo huyo kukaa nje ya …
Crystal Palace imemsaini kiungo mshambuliaji Eberechi Eze ambapo QPR watapata £20m katika dili hiyo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 amemwaga wino kwenye karatasi ambapo miaka mitano imesalia kuhudumu …
Wilfried Zaha “yuko tayari kuondoka” Crystal Palace, meneja wa Crystal Palace Roy Hodgson anasema… Winga huyo wa kimataifa wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 27 alihusishwa na kutakiwa na …
Mkutano wa kocha Frank Lampard hii leo kabla ya mechi ya kesho ambapo Chelsea itakuwa ugenini kuikabili Crystal Palace. “Kante hatokuwepo kwenye kikosi kutokana na majeraha ya nyama za paja. …
Nyota wa kimataifa wa Misri na klabu ya Liverpool, Mohamed Salah anatarajiwa kuanza katika kikosi kitakachoikabili Crystal Palace siku ya leo. Mchezaji huyo hakuwa sehemu ya kikosi kilichoanza dhidi ya …
Manchester United wanatarajia kuwakosa wachezaji wao 9 wakiwavaa Crystal Palace leo. Meneja wa mpito wa Man Utd, Ole Gunnar amethibitisha kwamba watawakosa baadhi ya wachezaji lakini haibadilishi lengo la timu …
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kufanikiwa kupata ushindi wa mabao manne kwa mawili dhidi ya klabu ya …
Roy Hodgson amejiuzulu wadhifa wake kama mkufunzi wa Crystal Palace huku klabu hiyo ikiwa juu kwa pointi tano tu kutoka eneo la kushuka daraja la EPL. Huku kukiwa na uvumi …
Eberechi Eze amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu na nusu na Crystal Palace ambao utamuweka Selhurst Park hadi 2027. Itakuwa msaada mkubwa kwa Eagles kwani mchezaji wao wa thamani, …
Kiungo wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Mason Mount anatarajiwa kukipiga leo katika mchezo wa kombe la Carabao dhidi ya klabu ya Crystal Palace. Mason Mount …