Lautaro Kukosa Mchezo Dhidi ya Torino, Ila Atarejea Mechi Dhidi ya Parma.
Serie A

Lautaro Martinez hatakuwepo kwenye safari ya Inter Milan dhidi ya Torino, huku klabu ikichukua tahadhari katika kupona kwake na kulenga zaidi kurejea kwake kwenye mechi ya nyumbani dhidi ya Parma …

Soma zaidi
Real Madrid Wamekumbwa na Pigo la Majeraha Baada ya Wachezaji 2 Kutolewa Nje ya Msimu Mzima.
La Liga

Matumaini finyu ya Real Madrid ya kurejea kwenye mbio za ubingwa wa La Liga katika mechi sita za mwisho za msimu yamepata pigo kubwa Alhamisi, baada ya wachezaji wao wawili …

Soma zaidi
Atletico Madrid Yachezea Kichapo Ugenini
La Liga

Atletico Madrid wamepoteza kwa mabao 3-2 dhidi ya timu dhaifu Elche CF, ikiwa ni kipigo chao cha saba katika mechi nane zilizopita katika mashindano yote. Wakiwa washiriki wa nusu fainali …

Soma zaidi
Lamine Yamal Amepata Jeraha Kwenye Mchezo Dhidi ya Celta Vigo.
La Liga

FC Barcelona walisogea hatua moja karibu zaidi kutwaa ubingwa wa La Liga baada ya ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Celta Vigo jana, lakini wakampoteza mfungaji wao Lamine Yamal ambaye …

Soma zaidi
Chelsea Inamvizia Emery Baada ya Kumtimua Liam
Daily News

Chelsea wanamfikiria Unai Emery baada ya kumfukuza Liam Rosenior, huku mabookmaker wakimuweka Emery katika nafasi ya 12/1 kutokana na changamoto za sheria za matumizi ya kifedha (PSR) zinazoiathiri Aston Villa. …

Soma zaidi
Liam Rosenior Amefukuzwa Kazi na Chelsea Kufuatia Mfululizo Mbaya wa Matokeo ya Kupoteza.
Daily News

Chelsea wamepoteza mechi zao tano zilizopita za ligi kufuatia kipigo cha 3-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion Jumanne, hali iliyosababisha uongozi wa klabu hiyo kumfuta kazi Liam Rosenior. Liam …

Soma zaidi
Pep Guardiola Asema City Lazima Washinde Kila Mchezo Kubeba EPL
News

Kocha wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola, amesema timu yake italazimika kushinda mechi zote zilizobaki ili kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Premier League, baada ya kupanda kileleni mwa msimamo wa …

Soma zaidi
Serge Gnabry Kukosa Kombe la Dunia Baada ya Jeraha la Paja
News

Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani, Serge Gnabry, ametangaza kuwa hatoshiriki kwenye Kombe la Dunia la 2026 kutokana na jeraha la paja, akisema ndoto …

Soma zaidi
Harry Kane Aiongoza Bayern Munich Kufuzu Fainali ya DFB-Pokal
News

Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kutinga fainali ya DFB-Pokal baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Bayer Leverkusen, katika mchezo wa nusu fainali uliowapa nafasi ya kuendelea kusaka mataji msimu …

Soma zaidi
Manchester City Wapanda Kileleni EPL Baada ya Ushindi Dhidi ya Burnley
News

Klabu ya Manchester City imepanda kileleni mwa Premier League baada ya ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Burnley, ushindi ambao pia umethibitisha rasmi kushuka daraja kwa Burnley kuelekea Championship. Mchezo …

Soma zaidi
1 2 3 6 7 8 9 10 11 12 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.