Aziz Ki Mchezaji Bora Mwezi Oktoba

KIUNGO wa Yanga Stephane Aziz Ki amefanikiwa kuibuka Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Oktoba wa Yanga SC, baada ya kuwashinda Dickson Job na Max Nzengeli.

Aziz Ki mwezi Oktoba ameisaidia timu yake kupata ushindi kwenye michezo mitatu, dhidi ya Geita Gold, Azam FC na Singida Fountain Gate FC.aziz kiKwenye michezo mitatu ya mwezi Oktoba amefunga mabao manne (4) ikiwemo Hat-Trick dhidi ya Azam FC, Azizi Ki amepata million nne (4) pamoja na tuzo.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.