George Mpole Mfungaji Bora NBC Premier League 2021/22

Mshambuliaji wa klabu ya Geita Gold Sports Club George Mpole ndiye mwamba wa kucheka na nyavu kwenye ligi ya NBC Premier League msimu wa 2021-22 baada ya kufanikiwa kupachika magoli 17.

George Mpole kufanikiwa kuwa mfungaji bora msimu, inakuwa ni mara ya pili mfululizo kwa mfungaji bora wa Ligi Kuu kutokea hapahapa Nyumbani Tanzania. Mwaka jana mfungaji bora allikua John Bocco.

George Mpole

Wafungaji Bora NBC Premier League  2021/2022

  1. George Mpole (Geita Gold Football Club) – 17 Goals
  2. Fiston Mayele (Yanga Sports Club) – 16 Goals
  3. Reliant Lusajo (Namungo Football Club ) –10 Goals
  4. Rodgers Kola (Azam Football Club ) – 9 Goals
  5. Matheo Anthony ( KMC Football Club ) – 9
  6. Kibu Denis (Simba Sports Club ) –8 Goals
  7. Saido Ntibazonkiza (Yanga Sports Club) – 7 Goals
  8. Anuary Jabil (Dodoma Jiji Football Club) – 7 Goals
  9. Meddie Kagere (Simba Sports Club) –7 Goals
  10. Abdul Suleiman SOPU (Coastal Union ) – 7 Goals
  11. Vitalis Mayanga (Polisi Tanzania Football Club ) – 6 Goals
  12. Jeremiah Juma (Tanzania Prisons Football Club ) –6 Goals
  13. Pape Sakho (Simba Sports Club ) – 6 Goals
  14. Feisal Salum (Yanga Sports Club ) –6 Goals
  15. Daniel Lyanga (Geita Gold Football Club ) – 5 Goals
  16. Habib Kyombo (Mbeya Kwanza Football Club ) –5 Goals

ALIYA’S WISHES

Bila shaka unatamani ushindi mkubwa, vipi kuhusu kujaribu Sloti hii ya Aliya’s Wishes? jaribu ushinde sasa.Kasino ya Mtandaoni

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.