Barcelona wanaripotiwa kuwa wanasita kulipa zaidi ya Euro milioni 15m kwa ajili ya usajili wa nyota -mlinzi wa Manchester City Eric Garcia.
Kinda huyu mwenye miaka 19 sasa amekuwa akipewa nafasi na Pep Guardiola kuonesha ubora wake, lakini hata hivyo staa huyu hataki kusaini mkataba mpya klabuni hapo.
Hii imekuwa ni sababu ya kuvutia uwezekano wa kuondoka Etihad na kurejea kule Camp Nou, ambako alitumia siku zake nyingi zaidi akiwa anakua katika soka kabla ya kuamua kwenda Uingereza.

Hata hivyo, taarifa zinasema licha ya Barcelona kuonekana na nia ya kutaka kumrejesha Camp Nou, bado klabu haipo tayari kwa dau linalohitajika mezani.
Wakati klabu ya Manchester City wakitajwa kuwa wanahitaji Euro milioni 27, kumuachia nyota huyu, Barcelona wao wanasema kuwa wapo tayari kulipa nusu ya gharama hiyo iliyotajwa. Barcelona hawataki kulipa zaidi ya Euro milioni 15.
Guardiola alishathibitisha kuwa staa huyu anataka kuondoka klabuni hapo. Wakati City wakiepuka kumuachia aondoke kama mchezaji huru msimu ujao, watahitaji kutazama tena mpango wao.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Mwajumah
Asante kwa makala#Meridianbettz
warda
Eric Hataki tena kubaki City ha haaaaa#Meridianbettz
Sauda
Abaki Manchester City
Njiku
Sio kesi baki city uendelee kukipiga eric
Leonard
Bora abaki man city
Latifa juma mohamed
Ahsanteni kwa makala nzuri.
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa meridianbet
Salma ngende
Wamchukue tu
Zuhura omary kindamba
Inabidi wasiwe wabahili wamchukue tu
rama
Maoni:hawana budi barcelona kumchuka nyota huyo aje alete nguvu barcelona imekuwa timu dhaifu sana siku hizi za karibuni
Sadick
Endapo Man City itakataa ofa ya Barcelona kuna uwezekano Eric Garcia akaondoka msimu ujao akiwa huru#meridianbettz
Omary lukumbi
Kama Barcelona awatak kumsajili tena bora atafute timu ya kwenda lakin si kubaki city
Ester jackson
Barcelona waache ugumu wamchukuwe mana Eric pia yuko vizuri
magdalena
barca kama wanasita kumchukua wamuache tu abaki city
Ernest
Garcia anawakati mgumu sana kipindi hiki
Shafii
Labda barca wameona sio chaguo sahihi kwa sasa.
felister
Barcelona waache ubahili wamchukue tu
Caroline
Wanahitaji wachezaji wazuri.ndo maana wapo makini kusajili
farida ahmadi
Maamuzi yao wenyewe binafsi kwa Barcelona kumnunua mchezaji huyo au raha
Issa
Garcia rudi nyumbani barca
Zeiyana
Barcelona wanaonesha kabic wanania ya kumnunua Eric Garcia ila wanaofia kutoa pesa nyingi ukiangalia mchezaji mwenyew bado chipukizi
Lydia Emmanuel Magoti
Barcelona mchukueni jembe uyo msisue sue apo
Flomena
Hata hivyo, taarifa zinasema licha ya Barcelona kuonekana na nia ya kutaka kumrejesha Camp Nou, bado klabu haipo tayari kwa dau linalohitajika mezani.
Sabrina
Barcelona wamchukue tu atawasaidia kwenye kikosi chao
Shan
Hawawezi kurupuka kumchukua bila kujiaminisha!!!
Nasra
Barcelona msimuache huyo
Gabriel
Nice update 👍
Povel
Garcia Hana nafas Tena ETihad co Kama Barcelona watamsajil itakuwha her kwake
aisha
Eric ni mchezaji mzuri sana
Dorophina
Barca kwa sasa naona hawana pesa ya kusajili wachezaji
Tatu
Tatizo ni nn Barcelona mkwanja au
Furahav
Ukiona hivyo hawana hela.
Fatuma kasomo
Habari njema
Hope mwaikuka
Nc news
Neema
Habari njema
Rehema
Hii ni habari njema
jullie
wakichelewa tunamchukua simba
Rose kapinga
Barcelona toa mkwanja mezan!!!
Aziza mushi
Ni mchezaji mzuri wamchukue
Adelta
Abaki tu Manchester city
@meridianbettz
Saupha mohamed
Jamaa anajua wamchukue
Khadija
bora abaki man city#meridianbettz
David Pere
Watoe pesa tu Kama wanamtaka kweli waacha maneno mengi
Nasra
Labda sio chaguo sahihi kwao.
Devotha
Barcelona labda wanataka kujiaminisha kabisa ndo wamchukue
Samiah
Nihabari njema
Mwanahamisi
Asante kwa taalifa