Chelsea Kutua kwa Lukaku Wakimkosa Haaland.


Klabu ya Chelsea imeongeza jina la mshambuliji wao wa zamani, Romelu Lukaku kama moja ya washambuliaji wanao wwania kutua katika viunga vya Stamford Bridge.

Chelsea wanamtazama Lukaku endapo wata shindwa kuinasa saini ya mshambuliaji kinda wa Borussia Dortmund, Erling Haaland ambaye anamezewa mate na vikabu vingi barani ulaya.

 

Lukaku amewahi kukitumikia kikosi hicho cha bluez mwaka 2011/13 kabla ya kuuzwa moja kwa moja katika klabu ya Everton na baadae kutua Manchester United na hatimaye Inter Milan.

Chelsea wanapata changamoto kupata saini ya Haaland kutoka kwenye vilabu kama Real Madrid, Barcelona na Manchester City.


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

6 Komentara

    Chelsea wapambane kumpata haaland maana Ni bora kuliko hata lukaku

    Jibu

    Itakuwa poa lucaku yupo vizuri sana

    Jibu

    Lukaku yupo vizuri wakimpata itakuwa Jambo zuri

    Jibu

    Lukaku yupo vizuri uwanjani na anakubalika

    Jibu

    Namkubal

    Jibu

    Itakuwa poa sna

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.