Mtendaji Mkuu wa Bayer Leverkusen, Fernando Carro amekiri klabu haina pingamizi kama Kai Havertz yupo tayari kupiga hatua nyingine katika maisha yake ya soka, huku kukiwa na taarifa kiungo huyo anakuhusishwa kuwaniwa na Chelsea na Bayern Munich.
Havertz, 21, amejitengeneza kuwa moja ya kiungo bora mdogo katika mpira wa Ulaya baada ya kushinda magoli 11 na kusaidia magoli matano kwenye msimu huu wa Bundesliga.
Chelsea tayari wamefikia makubaliano na Timo Werner mwanzo mwa mwezi huu na Havertz inaonekana huenda akaungana na Mjerumani kuelekea Stamford Bridge, kwani wote Frank Lampard amekuwa akiwania saini zao. Kiungo huyo wa Ujerumani amekuwa na msimu bora akiwa Bayer Leverkusen.

Japo, ripoti zinasema Bayern wapo kinara kwenye mbio hizo za kumwinda Havertz na wanaweza kufikia dau la £75 million kuliko Chelsea.
Alipoulizwa kuhusu tetesi za Havertz Mtendaji Mkuu wa Leverkusen Carro: ‘Vilabu vingi vinamhitaji. Naona mchezaji anataka kupiga hatua nyingine kwenye maisha yake ya soka.
‘Lazima uheshimu hilo na kutambua mkataba wake unamalizika 2022.’


Elika
Hongereni sana Chelsea kwa kukubaliwa ombi lenu
Magdalena
Aende tu Bayern Munich Chelsea hakuna dili
Omary lukumbi
Itakua bora zaid wakimpata Chelsea kwanza bado umri wake mdogo watapata faida kupitia yeye
Tahiya
Ama kwa hakika hiyo ni hatua yake nyingine kwenye soka ni vyema kama ataenda Chelsea
Theckla
Naona mchezaji anataka kupiga hatua nyingine kwenye maisha yake ya soka.
Mwanaidi
Mchezaji anatakiwa ajiongeze hapo akili kichwani mwake aende au laa
Samiah
Kakika hiyo nihatua nzuri sana kwake
Emmy cleopa
Fanya huwamuzi ambao hutaona wewe kwako hunamanufaa.
Asia Abdy
Wana Chelsea tunakuhitaj
Rehema
Hii ni habari njema Asante meridianbet
Adelta
Asante meridianbet kwa makala nzuri
Khadija
Hii ni habari njema kwetu ninafuraha sana kwa makala nzuri #meridianbettz
warda
Ka Havertz bado kapo fiti sana #Meridianbettz
Neema hassan
Mashabiki wa chelsea tunakusbr kwa hamu
Hope mwaikuka
Mchezaj nmemuelewa
Mwajuma
Habari njema kwa wapenzi wa Chelsea
Devotha
Havertz aende chelsea
Kenani
Safi sana
felister
asikilize nini moyo wake unataka
Johnmary joel
Hongera zake kabadilishe mazingira#meridianbettz
Caroline
Havertz mdogo alafu ana kiwango.hongera zake
lombo
gud newz asante
Salma
Iyo ni hatua nzuri kwake
Njiku
Mtendaji mkuu wa Bayer Leverkusen,Fernando carro amekili kuhusu mchezaji huyo kai havertz mwenye umri wa miaka 21 yupo poa kama atafika Chelsea na kuanza kukiputa pale itakuwa safii kwake maana atajiakikishia namba pale Stamford
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa chelsea
Genia Sikaluzwe
Habari njema Sana kwa mashabiki wa soka
Sadick
Mpira wa kileo mwenye kisu kikali ndio anakula nyama! Chelsea hawaulizi bei bali wanataka mchezaji kwa gharama yoyote itakayotajwa na muuzaji#meridianbettz
Ernest
Lampard anataka kuisuka Chelsea mpya kabisaaa
Hamidu
Next msimu watasumbua Sana #meridianbettz
David Pere
Watoe pesa Sasa wamchukue kabla wengine hawajaingilia kati
isha
Hongera sana kwa chelsea
Sabrina
Maoni:chelsea bado wanamuhitaji
Gabriel
Chelsea wasijiamin sana kwa kuwa harvert ni kiungo mzur lolote linaweza kutokea club nyingne ikapanda dau
Povel
Havert karibu daraja thnks meridian bet kwa update za michezo
Shafii
Nafurahi kuona lampad anatarajia kuandaa kikosi Cha ushindani msimu ujao
Hilda
Habari njema
Furahav
Anaonekana yuko vizuri sana.
Evaluziga
Hakika iyo ni njia nzuri kwake