PSG Wamgeukia Haaland

Paris Saint-Germain wameanza harakati za kumnasa mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Erling Haaland kuelekea dirsha kubwa la Uhamisho kulingana na Foot Mercato.

Klabu hiyo ya Ufaransa inamtaka mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Norway kuwa wa kwanza kufika hapo Parc des Princes majira ya joto kwani Thomas Tuchel anaonekana kutaka kufanya mabadiliko kadhaa kwenye kikosi chake.

Ikiwa PSG itakamilisha mpango wa kumsajili Haaland, basi wataelekeza upya nguvu zao kwa kiungo wa Rennes, Eduardo Camavinga na kiungo wa Lazio, Sergej Milinkovic-Savic.

40 Komentara

    Lampad tengeneza kikosi

    Jibu

    Wapambane watampata

    Jibu

    Cha msing waweke dau maana kiungo huyo wanamtaka clubs nying

    Jibu

    Halaand jeshiiiiii

    Jibu

    Wapambane watampata

    Jibu

    Wasikate tamaa ni dhambi

    Jibu

    Waweke dau nono watampata

    Jibu

    Nawaombea sana P.s.g wakubaliwe ombi lao

    Jibu

    Habari motomoto kwa PSG hizi zinaleta furaha wachangamkie fursa

    Jibu

    PSG kama watampata haland basi watakua na safu ya washambuliaj hatar sana maana huwez kuwazuia ukikutana nao unakua kama unekutana na jinamiz huwez kufurukuta

    Jibu

    Ni muda sasa wa klabu kivunja vibubu vyao kwa wachezaji wazuri

    Jibu

    Haaland yupo vizuri

    Jibu

    Itakua poa wakimpata

    Jibu

    Haaland ni fundi

    Jibu

    Itakuwa vizuli kama watampata#meridianbettz

    Jibu

    Haaland Ni jeshii

    Jibu

    Naona PSG round hii hawataki mchezo#Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa..

    Jibu

    Wapambane tu

    Jibu

    psg naona wameamua msimu huu

    Jibu

    Itakuwa vizur wakimpata

    Jibu

    Wapambane waongeze day watampata

    Jibu

    Sas huo ni moto hatar

    Jibu

    Wajipange vizuri na kujituma zaidi#meridianbett

    Jibu

    Wajipange vizuri na kujituma zaidi#meridianbett ukitaka vizuri lazima utoke jasho

    Jibu

    Psg hawajakosea wakimchukua haaland

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    saf habar njema

    Jibu

    Wapambane wasikate tamaa

    Jibu

    PSG ipo katika msuko mpya wa timu hivyo bhas erling haaland anauwezo wa juu sana na tunafahamu kazi yake akiwa Dortmund na alifanya vizuri sana uefa ligi hivyo bhasi PSG itafanya vizuri sana ikipata saini yake

    Jibu

    Haaland yupo vzr wasikubali kumuachia

    Jibu

    Haaland ni fundi wa mpira

    Jibu

    Haaland anatisha sana ni mchezaji ambaye atawindwa na club nyingi kupata saini yake.

    Jibu

    Wapambane! Huyo dogo anatakiwa na watu wengi#meridianbettz

    Jibu

    Haaland amekuwa overrated sana wajiandae kuvunja Bank kama ilivyokuwa kwa Mbappe na Neymar#meridianbettz

    Jibu

    Atawafaa Kama watampataaa

    Jibu

    PSG wabalance nao kila good player wanamtolea machho

    Jibu

    Haaland yuko vizuri.

    Jibu

    Kama anataka kua mchezaji mkubwa namshauri aelekee Spain au uingereza

    Jibu

    Wapambane watampata

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.