Kwenye mechi ya kirafiki kati ya Simba na African Lyon sikumbuki chochote kuhusu goli la Mugalu wala pasi ya “kideoni” ya Kadabra Ibrahim wa Migomba.Hata wewe achana na ushindi wa magoli 2-0 wala kumuona mkongwe Erasto Nyoni akichezeshwa kiuDavid ngo.
Ninachokikumbuka ni mikimbio na muono wa David Kameta “DUCHU” aliyecheza mbavu ya kulia.Kupitia mechi ile nimetunga dhambi mpya kabisa ambayo ni kumuona Duchu mchezaji wa kawaida.
Kesho yake ni nzuri sana ndani ya Simba yenye Kapombe peke yake kama mshindani wake.Tofauti na wengine wanaogombania namba na kina Chama,Bwalya nk.
Ambacho anachopaswa kufanya ni kuendelea kubaki na ushamba wake alitoka nao Iringa kwa Wanapaluhengo Lipuli FC. Speed yake ya kulijua jiji ndio hiyo hiyo itakua speed yake ya kuwafuta kina Mwashiuya waliokuja mjini tokea Mbeya.
Atakula Christmas nyingi sana Daresalaam kama atachelewa kupajua Buza kwa kina Ujugu Manzese kwa kina Madee na Mwanyamala kwa Kopa
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
Angelina
Goodupdate
Fatina
Na kweli
Hopemwaikuka
,😃😃😃
Dorophina
Asante kwa habari za kimichezo # meridianbet
Venerose
Asanteni kwao taarifa meridian
Caroline
Mjini kuna vya watu lkn na yy pia ni mtu
magdalena
kazi ipo kwelikweli
Saupha mohamed
Kweli kabsaa
Hidaya
Atulie tu kwa kweli
Adelta
Mashabiki tunashukuru kwa makala
aisha
Atulie kabisa yani
Zeiyana
Hapo tunaona kabic kama kagere hana mahajabu sikuizi
Sauda
Kweli kabisa
Amiri Kayera
Ni beki mzur sana wa pemben
Shan
Habari njema
Rose kapinga
Mjini chuo cha mafunzo
Khadija
Mjin kweli kuna nya watu ukireta shibo unashobokewa
Issa
Simba ina kikosi imara sana
Gabriel
Nice update 👍
felister
Hilo nalo neno
Sabrina
Kazi kweli kweli
Rehema
Iko sawa
Leonard
Mjini hatari
Ester jackson
Habar Norman’
Mwajumah
Simba inakikosi imara sana
Elika
Safi sanaaa
Ernest
Sibira yavuta heri kijana anatakiwa awe mpole lakini kwa mchezaji ukikaa sana benchi unaathirika kisaikolojia
Janeflora malisa
Kuwa mvumiliv
Lydia Emmanuel Magoti
Simba nahierewa kikosi chake kimetulia
Sadick
Simba imesajiri viungo wengi kuliko nafasi nyingi ndiko kwenye ushindani wa namba#meridianbettz
Tatu
Kweli kabisa
farida ahmadi
Wako vizuri Sana
JULIANA WILBARD ALEX
Safi,uku mjini kuna watu
Fatuma kasomo
Kijana yupo vizuri
David Pere
Mjin kweli kuna nya watu ukireta shibo unashobokewa