Mchezo wa 3 katika muendelezo wa fainali ya NBA Wesstern Conference umechezwa usiku wa kuamkia leo. Denver Nuggets walivaana na LA Lakers.
Kabla ya mchezo wa jana, Lakers walikuwa wanaongoza kwa matokeo ya 2-0. Msimu huu, Nuggets wameshaweka historia ya kupindua matokeo katika mechi 2 mfululizo. Walifanya hivyo dhidi ya Utah na LA Clippers.
Mchezo wa jana, Denver walishinda kwa pointi 114-106. Ushindi uliochagizwa na Jamal Murray aliyefunga pointi 28 pamoja na Jerami Grant pointi 26. Ushindi huu umetia doa safari ya ushindi wa Lakers katika michezo 6 mfululizo licha ya LeBron James kufunga pointi 30 na kutoa pasi 10 za magoli.
“Tupo kwenye haya mashindano. Tumewaonesha kwamba hatuendi popote. Ndicho wanachokifanya vijana wangu msimu huu wote.
“Ndio sababu kila mtu anatuzingatia, tunaendelea kuonesha uvumilivu wetu na kuendelea kucheza kwa umoja.” amesema kocha wa Nuggets – Michael Malone
Mchezo wa 4 utachezwa Alhamisi ya wiki hii. Kunako NBA Eastern Conference, Miami Heat anaendeleza ubabe dhidi ya Boston Celtics na sasa matokeo ni 2-1. Mchezo wa 4 kati yao utachezwa leo Jumatano.
Mshindi wa NBA Western Conference, atachuana na mshindi wa Eastern Conference ili kumpata bingwa wa NBA msimu huu.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
Mwajumah
NBA kumenoga Mambo yanazid kupamba moto
aisha
Naona wameanza vizuri kama kazi ipo acha tuone
Venerose
Wako vinzur
Dorophina
Hongera kwao nuggets
Caroline
N.B.A nayo sasa Ivi Ina wafuasi wengi
Neema
Wametishaa kinoma
Samiah
Mambo yanazidi kutaradady NBA
magdalena
wakipambana vizuri ipasavyo watapinfua kweli meza
Adelta
Ngoja tusubiri tuone matokeo
Mwanahamisi
Wako vizuri
Nasra
Wako poa
Shan
Nuggenets walianza vizur mwisho lakers uzoefu uliwasaidia
Rose kapinga
Wababe wanachuana!!
Khadija
Inakuwaje hadi wanapindua meza
Hopemwaikuka
Watawezaa
Sabrina
Nuggets ndio zao
felister
ngoja tuone matokeo
Sadick
Nuggets wanatukumbusha kutokata tamaa#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Wapo vizuri
Ernest
Wanangu Lakers hawatoniangusha sina wasiwasi kabisa
Tatu
Mambo yanazidi kunoga
Tumaini kasalile
Matokeo ndo yataamua