Viungo wakabaji waliopo pale Yanga kwa sasa, Abdul Aziz Makame ‘Bui’, Zawadi Mauya na Mukoko Tonombe. Fei Toto pia amewahi kucheza kama holding midfielder. Hakuna hata mmoja anayemsogelea Sergie Mukoko. Hakuna hata wa kumlinganisha naye, Simaanishi ubaya wala kuwakejeli akina Bui ila kwangu mimi Sergie is far better.

Makame anakaba sana, ambayo ni kazi ya msingi ya kiungo mkabaji ila hakupi chochote katika uchezeshaji wa timu. Anahitaji kucheza na viungo wabunifu sana mbele yake. Zawadi anacheza mpira mwingi ila hakupi sana wakati wa kukaba.
Anapiga pasi nyingi, ila pasi zake atapiga nyuma au pembeni tena za umbali mfupi. Hafikiri kabisa kufikisha timu mbele. Anapenda kucheza mpira salama (Safety football). Zaidi pia, Zawadi ni aina ya wale viungo ambaye huwezi kumpa jukumu la kukaba peke yake. Si mfukuzaji mzuri wa mpira.
Mukoko Tonombe? Kwanza anakaba vema. Itatokea kwa bahati mbaya sana Yanga wawe wanashambuliwa iwe hajafika kuungana na mabeki wa kati. Pili ni aina ya viungo wanaofikiri timu kufika mbele zaidi ya kuwa salama. Atapiga pasi fupi kukiwa hakuna njia, atacheza pasi ndefu kwenda pembeni na kwa washambuliaji wa katikati, majukumu kama ya kiungo mchezeshaji kabisa haya.

Ataingia ndani ya box kushambulia ukiwa hutarajii. Ataokota mipira nje ya box na kufanya hatari. Hawa akina Mukoko huwapati kirahisi. Nafikiri akina Mauya wana darasa la kuchukua kwake kwa hii miaka miwili.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Venerose
Hapo kazi ipo
Angelina
Hatari sana
Fatina mfigi
Kazi kazi
aisha
Makame atafanya maajabu
Hopemwaikuka
Pambanen uwanjan sio kututambia tu
Dorophina
Mukoko yupo vizuri sana kwenye kikosi chake cha ukabaji
Mwanahamisi
Hatari sana
Caroline
Yanga saivi wamejipanga
magdalena
tunasubiri kuona matendo yao na si maneno matupu
Hidaya
Wanaume kazini
Saupha mohamed
Atalii tupu
Adelta
Hapa kazi ipo
Nasra
Hapatoshi mbna
Zeiyana
Fey toto yupo vizuri sana kwenye sekta ya ushambuliaji hana jituma sana
Sauda
Patakuwa hapatoshi
Amiri Kayera
Yanga wanakikos kizur
Shan
Yanga ya wananchi
Rose kapinga
Hakuna maajabu hapo!!
Khadija
Watoto wamjin wanakuambia hapo shoo shoo
Issa
Kwa yanga hii tareh 18 patachimbika
Gabriel
Yanga wako vzur sana 👍
felister
hapo kazi ipo
Sabrina
Yanga wanatisha
Rehema
Yanga iko juu
Leonard
Mukoko mchezaji hatari
Ester jackson
Safii nzur sana
Mwajumah
Hapo kazi ipo
Elika
Patamu hapooo
Ernest
Yanga hawatokuwa na kisingizio kingine tena kuwa wachezaji hawajakaa na Mwalimu muda mrefu au hawajazoeana, Ni wakati wa kufanya maangamizi tuu baada ya kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi
Sadick
Utamu wa mboga viungo vivyo hivyo uzuri wa timu ni viungo. Hongera Yanga, tusubiri matokeo uwanjani#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Sisi tunasubili matokeo tuu ndio nitajua apo kama bango linavyo jiereze aponani pale nani
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Tatu
Kazi ipo
farida ahmadi
Patakuwa hapatoshi
JULIANA WILBARD ALEX
Hatari sana
Fatuma kasomo
mbele ya mnyama anakalishwa yanga
David Pere
Fey toto yupo vizuri sana kwenye sekta ya ushambuliaji hana jituma sana