Arsenal wameamua kumuongeza Luiz mkataba wa mwaka mmoja zaidi.
kocha wa Arsenal, Mikel Arteta ameendelea kujihakikishia kikosi chake cha msimu ujao kinasimama katika kipindi hiki cha shida ya kiuchumi baada ya janga la Corona.
Arsenal wametangaza kuwa David Luiz amesaini nyongeza ya mwaka mmoja kwenye mkataba wake, wakati wachezaji waliokuwepo kwa mkopo Cedric Soares na Pablo Mari wakisaini mikataba ya kudumu.
Staa huyu ambaye saini yake ilinaswa akitokea Chelsea, amekuwa akipanda na kushuka kwenye chati kwa kiasi chake kwa mda aliokuwa na The Gunners!
Mkurugenzi wa kiufundi wa bwana Edu Gaspar, anasema kuwa mlinzi huyu ni sehemu muhimu ya klabu. Amecheza mechi nyingi zinazomfanya aendelee kuwa muhimu klabuni hapo.
“David ni mchezaji muhimu sana kwetu. Amecheza mechi zetu nyingi msimu huu na amekuwa mchezaji muhimu kwa timu. Pasi zake, mawasiliano yake na timu ndani na nje ya uwanja. Anamsaidia kila mtu.” -Edu Gaspar
Walinzi wenzake Mari kutoka Flamengo na Cedric kutoka Southampton pia wameungana naye wakikamilisha kusaini mikataba yao ya kudumu.


Povel
Habar njema kwa wapenz wake na mashabiki wake kila la kheri
David Pere
Kweli wamekwama Hawa jamaa
Gabriel
Wapenz wa arsenal tunapenda kumuita beki kisiki kutoka sehemu ambayo inapozalisha wachezaji wazur
Tunapomzungumzia David Luiz msimu wa kombe la dunia tunatambua uwezo wa huyu beki hivyo kitendo cha
kuongeza mkataba n habar njema sana
kwa wapenz wa club ya arsenal
kuendelea na mchezaji wetu
Have a great news 👍
#meridianbettz
Zeiyana
David luiz msimu wa kombe la dunia tunatambua sana uwezo wa huyu beki kitendo cha kuongeza mkataba ni habari njema kwa mashabiki wa clabu ya arsenal
Issa
Ssfi sana atasaidia pia the gunners
Caroline
Hongera Luiz
Dorophina
Ni habari njema kwa wapenzi wa arsenal
Hamidu
Habari nzuri kwa mashabiki wa arsenal! Nategemeaa atawafanyia mazuri#meridianbettz
Magdalena
Habari motomoto ni wakati wake na arsenal kusahihisha pale walipokosea
Sadick
Kwetu mashabiki tulidhani angeondoka baada ya msimu kumalizika lakini Club ina mipango mingine. Hongera kwake#meridianbettz
isha
Duuh tumefurahi sana naona unaendelea kutupa nguvu sisi mashabiki wa Arsenal
Angelina
Ni habari nzuri
Shafii
Atawasaidia arsenal kwa kipindi hichi kigumu kwao ila Ruiz kiukweli mpira umeisha
farida ahmadi
Vzr San kwani Arsenal ni timu bora Sana na pia Bado ina nafasi hata katika msimu hujao sio mbaya David luiz akiongeza mkataba arsenal
Ester jackson
Daaah inakera sana kwa mashabiki wa arsenal amefurahia sana kumpata beki luiz ila kwa sisi mashabiki wa luiz hatujapenda mana anazidi kuwa chini ya kiwango in bora kama angeondoka arsenal
Ester mmakasa
Haya sasa Luiz sisi yetu macho ni matumaini yetu utafanya mambo mkubwa ukiwa arsenal.
Hope mwaikuka
Nmeipenda hii
Njiku
David luiz yupo poa na beki mzuri sana licha ya timu yake kusuasua ila anaonyesha kiwango chake bado mpka edu gaspar akimsifia beki hyo nyota wa brazil,sio mbaya kwake kusaini mwaka mmoja katika klabu hiyo haweze kusaini mda mrefu kwa timu kama the gunners atashusha kiwango chake na kwamchezaji ka luiz anataka kucheza uefa na kutapa hata taji la iefa ila sio kwa arsenal miaka mia bora asepe
Neema hassan
Habari njema kwa wapenzi wa soka
Aziza mushi
Habari njema kwa mashabiki wa Arsenal.
Omary lukumbi
David luiz n beki mzr sema mchomaj sana anapandisha vzr timu mziki sasa kurudi kuja kusaidia kukaba ndio mtihan hii tabia hua anayo na achelewi kuigharimu timu
Ernest
Mhhh hii ni habari ya kushangaza sana, David Luiz kuendelea kusalia ndani ya Arsenal!!????
Sabrina
Maoni:Hii safi sana Arsenal bado wanamuhitaji David Luiz.
Amiri Kayera
Arsenal wamekosa beki mm ata simkubar uyu jamaa
Mwajuma
Beki kisiki
Johnmary joel
Hongera mzidi kuonheza juhudi arsenal bado matokeo hayaridhishi#meridianbett
Latifa juma mohamed
Habar njema , labda tutabadilisha upande wa matokeo yaweza now yakawa njema kwa usahil huo
Fatuma kasomo
Atawasadia arsenal katika kipindi hiki kigumu
mwakalosi
jamani kuna corona halafu kuna arsenal haya ni magonjwa yanayoua na kukondesha kupewa mkataba luiz kuna watu washapelekwa icu
Samira
Kama shabiki wa arsenal naona Luiz msimu ukiisha aende tu
Agness
Safii inapendeza
Rehema
Luiz namkubali Yuko vizuri
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Angelina
Good news kwa mashabiki wa Arsenal
christopher
Hii habari ya kushangaza kabisa, ila maybe reason behind ni kwamba kuna majeruhi mengi pale sana sana in defence.
Elika
Sijui wanakwama wapi
warda
Sio mbaya acha abaki mana anajitahidi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Hii niabari yakushangaza Sana David Luiz kusalia Tena ndani ya Arsenal
Khadija
Tumefurahi sana mashabiki wa Arsenal aendelee kutupa nguvu#meridianbettz
Devotha
Safi sana ni jambo zuri kwa mashabiki wa arsenal
Emmy cleopa
Habari njema kwa mashabiki
Mwanahamisi
Luiz anatisha
Samiah
Good news kwa mashabiki wake
Mariam mtandama
Habari mjema
Sylvester
Duu hii kali Galasa bado linabaki Arsenal……….??????#meridianbettz
Furahav
Hongera ila punguza mapepe.
Theonestina
Hongera yake
Amani
angeondoka baada ya msimu kumalizika lakini Club ina mipango mingine. Hongera kwake#meridianbettz
Salma
Good
felister
habari nzuri kwa mashabiki wa arsenal
Asia Abdy
Good News