Vikosi : Roma vs Sampodoria

Roma wanazama dimbani bila Juan Jesus, lakini watakuwa na Amadou Diawara na Davide Zappacosta kwenye mchuano dhidi ya Sampodoria ambao pia wanazama tena dimbani bila kuwa na Fabio Quaglierella.

Hii ni gemu ya kwanza kwa Roma tangia wanatoka karantini, wanapambana dhidi ya meneja wao wa zamani Claudio Ranieri wa akiwa na Sampodoria. Giallorossi tayari wamejikuta wakitupwa mbali kwenye nafasi 4 za juu kwenye msimamo wa ligi.

Sampodoria wao walichapwa 2-1 dhidi ya Inter Jumapili laikini wametishida kurejea kwa kishindo kwenye mechi hii dhidi ya Sampodoria.

Fomu ya timu katika mechi 5 zilizopita
Roma : W W L L L
Sampdoria : L W L W L

W -Alizoshinda      L-Alizopoteza

Vikosi vinavyotarajiwa

Roma (4-2-3-1): Mirante; Zappacosta, Mancini, Smalling, Kolarov; Diawara, Veretout; Perez, Pellegrini, Mkhitaryan; Dzeko

Sampdoria (3-5-2): Audero; Bereszynski, Tonelli, Yoshida; Depaoli, Ekdal, Linetty, Jankto, Murru; Ramirez, Gabbiadini

 

 

51 Komentara

    Mechi nzuri Sana ila Roma anaibuka kidedea 2-0

    Jibu

    Hakika litakuwa benge laechi la kupasha misuli tunasubiri tu tuone Roma afanye maajabu yake

    Jibu

    Vikosi poa ila sampdoria ni timu ambayo haifai kubeza

    Jibu

    Mechi hii inaweza kutoa nafasi kwa Roma kuisogelea Atalanta nafasi ya 4 msimu ujao icheze UEFA Champins League#meridianbettz

    Jibu

    Vikosi vzr Sana hivy Asante meridian
    bettz kwa taarifa

    Jibu

    Asante meridianbet kwa kutujulisha vikosi vinavoendelea.

    Jibu

    Hii itakuwa bonge la mechi maana sampodoria inabid washinde ili wapande nafas maana msimu uliopita walipigwa na inter magol mawili kwa moja na kumfanya ashuke licha ya kuwa alijitahid kujitetea sana lakin ikashindikana kwa hiyo wanaohitaji kukusanya point kutoka kwa Roma
    Na upande wa Roma na wanakibarua kizito kwan watamkosa Juan Jesus kiungo wao na hii ndo mechi yao ya Kwanza wakiwa nyuman wanatakiwa washinde ili waweze kutetea nafasi yao ya ushindi maana tokea watoke karantini now ndo wanafungua dimaba na Moto wa hatar
    Lakin ukiangalia mifumo yao yote n mizur sana kwa upande wa Roma wanatumia
    4-2-3-1 na upande wa sampodoria wao wanatumia 3-5-3-1 hivyo n mtanange mzur sana
    Shukran meridianBetTZ kwa taarifa
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Hii sifa

    Jibu

    Kuna kaz hapo

    Jibu

    Kazi ipo

    Jibu

    Mtanange huo ni balaaa mimi nasubili matokeo

    Jibu

    Don’t miss

    Jibu

    Litakufa jitu hapo sio kwa vikosi hivyo

    Jibu

    Bonge la mechi roma ushindi lazima

    Jibu

    Mechii nzuri Sana Roma lazma aibuke na ushindi

    Jibu

    Roma leo atashinda tuu ila kwa goli chache tuu ili kupunguza gepu la point 4

    Jibu

    Game tamu Sana hiyo..kwangu. Naona GG3+ wazee wakubet fursa hiyo hapo

    Jibu

    Hii mechi magoli mengi kipindi cha pili.

    Jibu

    Maoni:Hii gemu itakua hataree

    Jibu

    Ni mechi muhim Sana Kwa wote

    Jibu

    Kitawaka leo

    Jibu

    Bonge la game mapema tu kideoni

    Jibu

    Game kabambe Sana , kikosi Cha Roma kipo poa ,wazee majamvi msikose mtanange huu Roma be the winner for this match.

    Jibu

    Roma anashinda

    Jibu

    smalling amekuwa na msimu mzuri italia

    Jibu

    Hii mechi ni 2-4

    Jibu

    Hii mechi itakua na magoli mengi vipindi vyote

    Jibu

    Eeeeh! Bwanaee bonge la mechi

    Jibu

    Hii mechi ni kali kinoma lazima kieleweke tu

    Jibu

    Roma hana mpinzani#meridianbettz

    Jibu

    Hapo lazima pachimbike na Kila mtu mkali kwa mwenzake

    Jibu

    Naona kikosi cha Roma kimejipanga vilivyo nategemea kuona magoli yakifungwa na dzeko

    Jibu

    Gemu ya Kwanza toka quarantine.tunaisubiri Kwa hamu

    Jibu

    Roma amepunzika sana vya kuosha apa sasa ushindi kwake ni lazima#Meridianbettz

    Jibu

    Mechi zipo poa ila Kuna kazi apo

    Jibu

    Eeeeh bwana itakuwa bonge la mechi#meridianbettz

    Jibu

    Roma lazima ashinde

    Jibu

    Roma wakaze misuli sana mechi hii wakishinda inawepelekea hadi kuisogelea Atalanta nafasi ya 4 msimu ujao icheze UEFA champion league

    Jibu

    Mechi kali sana hii mm nasubiri matokeo tu

    Jibu

    Kazi ipo hapo

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Roma kazi ipo

    Jibu

    Roma wanatakiwa wapambane sana.

    Jibu

    Asante kwa makala za michezo meridianbettz

    Jibu

    Vipo vizuri sanaa

    Jibu

    Ilikuwa bonge la mechi

    Jibu

    nafasi kwa Roma kuisogelea Atalanta nafasi ya 4 msimu ujao icheze UEFA Champins League#meridianbettz

    Jibu

    Hiyo mechi itakuwa babu kubwa

    Jibu

    ulikua mtanange wa kuotea na moto

    Jibu

    Mambo yalikua motoo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.