Hazard Amefeli Kule Real Madrid?

Alikuwa Akimkosha Zidane Kila Alipokuwa Dimbani kule Chelsea, Sasa wapo pamoja, pale pale Real Madrid!

Kabla nyota wa zamani wa Chelsea, Eden Hazard kutimkia Real Madrid, alishawahi kugonga vichwa vya habari kwa kusema kuwa Real Madrid ni klabu ya ndoto zake tangia alipokuwa mdogo.

Staa huyu alionesha matamanio yake ya kufundishwa na meneja Zidane ambaye pia kwa upande wake aliweka wazi kuwa nyota huyu alimkosha kila wakati alipokuwa dimbani.

Swali ni je, Zidane ameshindwa kumfanya Hazard aendane na Madrid au Hazard ndiye anaifelisha Madrid?

Wenyewe wanasema kuujua utamu wa asali ni lazima uilambe!

Zinedine Zidane, alibainisha kuwa alikuwa akimkubali nyota huyu kwa mda mrefu, alikuwa akimfikiria mara zote wakati yupo Chelsea na kuona kama ni mmoja wa wachezaji bomba zaidi. Hazard ameshindwa kwa kiasi fulani kufikia moja kwa moja matarajio ya Real Madrid. Unafikiri hii ni chungu-tamu? Yawezekana.

Alikuwa Akimkosha Zidane Kila Alipokuwa Dimbani kule Chelsea, Sasa wapo pamoja, pale pale Real Madrid!
Zidane na Hazard

Hazard alikuwa akifanya makubwa pale Chelsea, akiwa ni mmoja wa wachezaji tegemezi zaidi wa kikosi cha Maurizio Sarri. Mashabiki wa Chelsea wanaelewa vyema hisia walizokuwa nazo pindi kikosi kinavyoingia dimbani kulisakata bila kuwa na Hazard.

Zidane anaamini Real wangeweza kumtumia vyema Hazard, lakini huenda wakahitaji mda zaidi kuona matunda ya moja ya sajili zao za gharama.

Kwa mujibu wa Zidane, Hazard bado kabisa hajafeli klabuni hapo. Anaamini ni changamoto tu ya majeraha aliyopitia imemkwamisha kuweza kumtumia vyema na bila shaka sasa atarejea kwenye umashuhuri wake wa kushambulia.

Real waliwekeza Euro milioni 100 kwa ajili ya kumpata staa huyu kutoka Chelsea msimu wa joto uliopita. Bila shaka kwa juhudi zake kwenye ligi ya Primia, Real walifikiri angalau wanaweza kupata mrithi wa pengo la CR7.

Staa huyu apewe mda. Lakini itendawili cha pengo la CR7 kinaendelea kuonekana ni kigumu kwa Zidane. Wacha apewe mda kidogo huenda akafanya maajabu zaidi La Liga.

51 Komentara

    Hazard apewe muda nina Imani atafanya vizuri

    Jibu

    Hazard bado mchezaji mzuri..tumpe muda atarudi kwenye ubora wake#meridianabettz

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Harzad n mchezaji mzuri ila tatizo ni mfumo ambao aliokutana nao ndo maana amejikuta anacheza chini ya kiwango ila kwa upande wangu wakimpa muda wa kuzoea mfumo kama alivyokuwa Chelsea harzad atatisha sana kwan wapenz wasoka kombe la dunia nameona alivyokuwa anakimbiza huku lukaku mbele harzan anatikisa nyavu hivyo naamin wakimpa nafasi ya kuzoea mfumo was Madrid atakuwa hatar

    Jibu

    Madrid wanabidi wampe muda wa kutosha uku wakinsihii kurekebisha alipokosea

    Jibu

    Hazard ni mchezaji mzuri wampe muda

    Jibu

    Hazard yuko sahihi apate muda tuuu

    Jibu

    anachotakiwa ni kujiamini zaidi atafanya makubwa ila hawezi kuwa mbadala wa CR7#meridianbettz

    Jibu

    Hazard bdo sana ana huwez wa kucheza kandanda majerah ndo yamemwangusha na kufanya kuanza vbaya la liaga na mashindano mengne now mapemA sana kusemah kafel kikubw muda hatatuonyesha ubora thnks meridian bet btz kwa update

    Jibu

    Hazard ni mzuri sema falsafa za zidane na mazingira ya madrid ajayazoea bado
    Hivyo inabidi apate muda zaidi

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Hazard yuko sahihi ila ni vema akapewa muda

    Jibu

    Tnx meridian kwa taarifa za michezo

    Jibu

    Amefeli vibay mno maana Hana hata jipya la kutambia

    Jibu

    Hazard ilifaa sana club yake ya zaman ya Chelsea kwan tokea aondoke
    tunaona Kama achez kile kiwango ambacho alichokuwa akichezea
    akiwa club ya Chelsea lakin kwa upande
    wang nahisi mfumo wa Madrid unamfanya asiwe anaulewa but inapaswa apewe
    muda zaid huenda akaja kuelewa na kucheza kwa kiwango kikubwa sana

    Jibu

    Hazard anaifelisha Madrid

    Jibu

    Bado ni mchezaji mzuri. anachotakiwa ni kujiamini zaidi atafanya makubwa ila hawezi kuwa mbadala wa CR7#meridianbettz

    Jibu

    Harzad yuko vizuri

    Jibu

    Hazard alileta mapepe uingereza alikua na wakati mzuri akiwa na club yake Chelsea ila Spain kumemkataa

    Jibu

    Hazard ni mchezaji mzuri hivyo Real Madrid wasikate tamaa Bado waendelee kumpa mda Bado pia hana nafasi katika timu yake na hanaweza pia hat akaziba pengo la cr 7

    Jibu

    Hazard in mchezeja mzuri sana ila kutokana na majeraha yamemkwamisha ndiyo mana kiwango chake kinaonekana kimeshuka ila kama watampa nafasi tena na hazard akaitumia vizuri basi ninaamini hata mashabiki tutafurahia sana

    Jibu

    Hazard mbona bado Yuko fresh ila ni changamoto ndogondogo zinatokeaga mahali popote.

    Jibu

    Wamvumilie tu kwanza

    Jibu

    Hazard ni mchezaji mzuri hahaha eti walitegemea atakuja ziba pengo la cr7 jamani hivi hazard azibe pengo la ronaldo?utani huu,zidane ni kocha mzuri sana ila hazard anatakiwa kuendana na real madrid maana anauwezo wakutosha

    Jibu

    Hazard mchezaji mahiri apewe muda wa kutosha..

    Jibu

    Hazard ni mchezaji mzuri apewe muda atafanya vizuri tu.

    Jibu

    Mbeligiji huyu amefeli sana yan tofaut alivyo kua Chelsea na alipo kwepo sasa real Madrid amekua sio hazard yule wa Chelsea anae ondoka na beki watatu peke yake yupo kimya sana ameshindwa kuonyesha makali yake sijui hali ya hewa ajazoea au mfumo aendan nao

    Jibu

    Hazard bado anahitaji muda lakini sio kama amefeli ndani ya Madrid

    Jibu

    Ajawa na msim mzur apo ndo mpila ulivyo

    Jibu

    Tuvute subra labla atakaa poa

    Jibu

    Wampe nafasi tena bado anaweza#meridianbett

    Jibu

    Bado anahitaji muda sio km amefeli

    Jibu

    bado hajafeli ila anahitaji muda zaid wa kuaniniwa

    Jibu

    Hazard bado ni mchezaji mzuri sana wampe muda na kumuamini atafanya vizuri zaidi

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Apewe mda ajifikilie kwanza

    Jibu

    Amefeli vibaya sana, na hili lilionekana mapema tu kabla hata ya kuhama kwake maana wachache sana kutoka uingereza wanaweza kufanya vizuri spain

    Jibu

    Hazard mwenyewe anahofu tu

    Jibu

    Hazard bado anaitaji mda sio Kama ameferi ndani ya madridi

    Jibu

    Hazard bado anauwezo sana apewe muda tu

    Jibu

    Hazard ni mchezaji mzuri tumpe muda atafanya tu vzr jamani tusifanye mambo kwa haraka#meridianbettz

    Jibu

    Harzad n mchezaji mzuri ila tatizo ni mfumo ambao aliokutana nao ndo maana amejikuta anacheza chini ya kiwango ila kwa upande wangu wakimpa muda wa kuzoea mfumo kama alivyokuwa Chelsea harzad atatisha sana kwan wapenz wasoka kombe la dunia nameona alivyokuwa anakimbiza huku lukaku mbele harzan anatikisa nyavu hivyo naamin wakimpa nafasi ya kuzoea mfumo was Madrid atakuwa hatar

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa #meridianbettz

    Jibu

    Asante meridian kwa taarifa

    Jibu

    Asifeli kwani aongeze bidiii

    Jibu

    Hazard apewe muda tu.

    Jibu

    Hazard Yuko vizur tu

    Jibu

    anachotakiwa ni kujiamini zaidi atafanya makubwa ila hawezi kuwa mbadala wa CR7#meridianbettz

    Jibu

    Apewe muda atafanya vizur

    Jibu

    Bado ana nafasi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.