Borussia Dortmund Waiwekea Ngumu Juventus kwa Adeyemi

Makala iliyopita
Nketiah Kutimkia MarseilleMakala ijayo
West Ham Wamalizana na Wan Bissaka
Taarifa zinaeleza kua klabu ya Juventus hawakuwahi kutuma ofa yeyote rasmi kwa Dortmund na mazungumzo yalikua baina yao na upande wa mchezaji tu, Huku wanafainali hao wa ligi ya mabingwa ulaya wakiona kama winga Karim Adeyemi ni moja ya wachezaji wao muhimu kwa miaka kadhaa mbele.