Douglas Costa Kurudisha Mpira Kwa Kipa!!

Baada ya kutolewa kwa mkopo na klabu ya Juventus na kurudi tena Bayern Munich, bado Douglas Costa anataabika kupata namba kwenye kikosi cha miamba hio ya soka la Ulaya.

Costa alihusishwa na Man United kama mbadala wa Jadon Sancho lakini mwisho wa siku, Juventus waliamua kumtoa Mbrazil huyo kwa mkopo na akarudi tena Bayern.

Costa akiwa na Juventus.

Kutokana na kutaabika akiwa benchi kwenye kikosi cha kocha Hans Flick, mchezaji huyo amegusia uwezekano wake wa kurejea Italia. Kwake ni bora arudishe mpira kwa kipa, arudi alipotoka kuliko kuendelea kusugua benchi Bayern Munich.

“Nitapenda kurejea Italia, nchi ninayoiheshimu sana. Ngoja tuone kitakachotokea. Bado nina mkataba na Juve” alisema Douglas Costa wakati akizungumza na Pierluigi Pardo.


TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET

BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.

CHEZA HAPA

9 Komentara

    Costa jitahid utapata namba tu

    Jibu

    Costa pambana

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Costar ni mtu hatari

    Jibu

    Douglas ni mchezaji mzuri Sana

    Jibu

    Uamuz sahihi

    Jibu

    Inawezekana hajaendana na matakwa ya Kocha! Maisha ya wachezaji yapo hivyo

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Dogo yuko poa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.