Baba wa mlinda mlango wa Liverpool Alisson Becker amezama kwenye bwawa karibu na nyumba yake ya mapumziko nchini Brazil.

José Agostinho Becker, 57, alikuwa akiogelea karibu na mali ya familia huko Rincao do Inferno na mwanzoni alitangazwa kupotea majiara ya jioni kwa saa za hapa siku ya Jumatano.
Timu za utaftaji zilitumwa, pamoja na moja kutoka idara ya zimamoto ya Cacapava do Sul, na baadaye ilithibitishwa kuwa mwili wake ulipatikana. Hakuna mchezo mchafu unaoshukiwa na kifo kinachukuliwa kama ajali.
Alisson, aliyejiunga na Liverpool akitokea AS Roma mwaka 2018, amemsifu baba yake kama moja ya ushawishi mkubwa katika kazi yake na kaka mkubwa, Muriel, ambaye pia ni kipa wa Fluminense.
“Ni kwa masikitiko makubwa tumezipokea habari za kifo cha Jose Agostinho Becker, baba wa golikipa wetu wa zamani Alisson na Muriel,” klabu ya Fluminense ilisema. “Tunawapa pole marafiki na familia tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu.
Bwana Becker, ambaye alikuwa broker wa mali isiyohamishika, aliripotiwa kupatikana karibu usiku wa manane na rafiki na mfanyakazi wa mali ya familia katika jiji la Bage, ambapo Bwana Becker aliishi na mkewe Magali.
TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET
BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.



Venerose
Pole sana Becker
Sarah
Pole sana Becker
Caroline
So saad
Mwanahamisi
Pole sana
Adelta
Pumzika kwa amani
Hopemwaikuka
Rest well
Lydia Emmanuel Magoti
Dash apumzike kwamai
warda
R.I.P mkwe