Dayot Upamecano amemaliza uvumi kuhusu hatima yake kwa kusaini kandarasi mpya na klabu ya Bundesliga RB Leipzig.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 anayecheza nafasi ya ulinzi alikuwa akihusishwa na kuhamia katika timu ya Premier League, Arsenal na dili yake ya ilikuwa inakwisha mwaka 2021.
Leipzig wamemwambia Upamecano anahitaji kusaini mkataba mpya au auzwe wakti wa dirisha la usajili kuliko aondoke bila malipo mwakani.
Na mfaransa huyo amechagua kuendelea kukaa klabuni hapo, kwa kukubaliana na vigezo na masharti katika dili ambayo itafikia mwisho mwaka 2023.

“Najihisi vizuri nikiwa hapa Leipzig, kila kitu kipo sawa,” alisema Upamecano ambaye pia alikuwa akipendelea kwenda klabu ya Bayern Munich.
“Tulikuwa na mazungumzo mazuri na Mkurugenzi mkuu Oliver Mintzlaff, na kiongozi wa michezo Markus Krosche na Kocha mkuu Julian Nagelsmann, ambaye alinionesha kupenda maamuzi yangu ya kuongeza mkataba yaliyokuwa ni maamuzi sahihi.
“Kijana wetu mdogo mwenye njaa na amekuwa na mchango katika klabu. nataka kupiga hatua na Leipzig na kufikia malengo ya mipango yetu, kwa sababu nimeshawishika jinsi tunavyo cheza mpira wetu.
“Nimekuwa hapa kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu na ninataka kuendelea kuwepo hapa kuimarisha timu.
Leipzig ambao wamefika katika hatua ya robo fainali katika michuano ya Champions League watakutana na Atletico Madrid katika michuano hiyo mwezi ujao Agosti, wakiwa tayari wamempoteza mshambuliaji wao Timo Werner aliyetimukia katika ligi ya Premier League katika klabu ya Chelsea.
Upamecano ameichezea Leipzig michezo 111 tangu ajiunge mwaka 2017 mwezi Januari.
“Dayot amekuwa ni beki mzuri hapa Leipzig katika kipindi cha miaka michache iliyopita na bado anaweza kuendelea kukuza kiwango chake akiwa hapa Leipzig.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani


Furahav
Hongera
Saupha mohamed
Good news
Gabriel
Dayot Upamecano n bonge la bek tunamtaka sana Arsenal
#Meridianbet Tanzania
Sabrina
Hongera sana
farida ahmadi
Yuko vizuri Sana na hongera
Ernest
Kila la kheri Dayot Upamecano na hongera kwa kulamba deal nono
Hope mwaikuka
Congrats to him
Shafii
Habari njema kwa wana RB.
Salma ngende
Hongera!
Sadick
Hii ina maana timu inayotaka huduma yake inatakiwa izame zaidi mfukoni. Leipzig imeleta chachu Bundesliga miaka ya karibuni na pengine ni timu pekee kutoka Ujerumani mashariki kufanya vizuri#meridianbettz
Omary lukumbi
Hongera sana na faida sana kwa RB reipzig
Issa
Nzuri kwake
Devotha
Hongera sana
Genia Sikaluzwe
Habari njema hizo
Zuhura omary kindamba
Hongera sana
Latifa juma mohamed
Hongera zake
David Pere
Jamaa kweli kanogewa na timu take Yani Hana hata wazo la kuhama kabisaaa
Theckla
Habari njema
Dorophina
Ni vizuri amepata donge nono kuingia reipzing
Mwajumah
Hongera sana#Meridianbettz
Adelta
Hongera yake
Magdalena
Kijana anaangalia mpunga tu
Lydia Emmanuel Magoti
Hongera sana
Tatu
Hongera sana
Isaya massawe
Pongezi kwake kwa kupata mkataba mpya
Samiah
Gud
Povel
Kila la kheri
Rose kapinga
Hongeraaa!!!
felister
jamaa kweli kanogewa mawazo ya kuamia klabu nyengine ata hana
aisha
Hongera sana
Zeiyana
Kila la kheli
marry
gud
Amiri Kayera
Beki mzur sana
Asia Abdy
Good news
Fatuma kasomo
Pongezi kwake
Saupha mohamed
Habari njema
Ester jackson
Good news
warda
Hongera yake kabisa
Sania mapua
Pongezi kwake