Baada ya kuuanza vizuri msimu mpya wa soka, kocha wa Tottenham – Jose Mourinho hana wasiwasi na kiwango cha Bale.
Gareth Bale alirejea tena Tottenham katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi akitokea Real Madrid akiwa ameshacheza michezo kadhaa.
Kuelekea mchezo dhidi ya Royal Antwerp kunako Ligi ya Europa, Mourinho amesema “Kiwango cha Bale kimeimarika na anaimani ataonesha kiwango kwenye mchezo wa leo”.
“Bale anacheza na sio kwamba tunahisi tu, tunadata zinazotuonesha kama kiwango chake kinaimarika. Anafanya kazi kwa nguvu kubwa na amekuwa mfano mzuri kwa kila mtu.
“Tabia yake kama mchezaji wa Tottenham ni mfano kwa wengine. Ninajionea kwa macho yangu na data za kisayansi zinaonesha hivyo pia.
“Anaendelea vizuri na pengine leo ataonesha kiwango ninachokizungumzia.”
Mourinho ameiongoza Tottenham katika ushindi wa michezo yote ya kufuzu Ligi ya Europa pamoja na ushindi katika mchezo wa kwanza wa makundi ya ligi hiyo.
Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.



Sylvester
Kwa Bale ni subra tu inahitajika ila ni mchezaji bora ambae atafanya makubwa akiwa na Mourinho.Kila la kheri
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana Mourinho kwakulijua ilo
Caroline
Bale ni mchezaji mzuri sana.ni suala la muda tu
Ester jackson
Bale in mchezaji mzuri sana ila bado anahutajika apate mazoezi zaidi kwa kocha wake
Angelina
Bale yuko fiti kweli
Tatu
Bale ni mchezaji mwenye kujituma
Mwajumah
Bale ni mchezaji mzuri sana
Elika
Hapo hakuna jipya zaidi kuwa na subira tuu maana ndo kilakitu
Adelta
Bale yuko vizuri
Sauda
Bale anajitahidi kwa kweli
Dorophina
Bale kwa sasa yupo vizuri sana anajua nini anafanya
Mwanahamisi
Bale Yuko juu
Khadija
Bale anajituma sana
aisha
Bale ni mchezaji ambae anauheshimu sana mpira hivyo ndio maana.kiwango chake kinazidi kuongezeka kila siku
Sabrina
Bale ni kipaji kingine kabisa
Ernest
Bado Bale anadeni kubwa sana kwa wapenzi wa Spurs
warda
Bale yuko poa sana
zeiyana
moriuhno kama hatamtumia bale hipasavyo tunaimani hatabadilisha matokeo pale clabuni totteniham
Amani Maeda
Kawaida lazima mabadiliko au maboresho yawe chanya yenye manufaa kwa timu ndicho kinapa furaha Spurs.
Hopemwaikuka
Gud to hear this
Issa
Bale amekua kwenye kiwango bora toka arud totenham
Povel
Bale tutegemeh makubwa kutoka kwake
Saupha mohamed
Bale anajuaa