Baada ya Juventus kuondolewa katika mashindano ya UEFA kwa msimu wa 2023/24, ina maana kwamba Fiorentina watachukua nafasi yao katika mchujo wa Ligi ya Konferensi.
Bianconeri wameondolewa kwenye mashindano yote ya vilabu vya wanaume yanayoendeshwa na UEFA kwa kampeni hii.
Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.
Hiyo ingekuwa Ligi ya Konferensi, kwani walipandishwa kizimbani na kukatwa pointi 10 za Serie A kwa makosa ya kifedha na kupandisha ada za uhamisho kwa njia isiyo halali ili kuongeza faida za mtaji.
Kwa vile Juve hawatajumuishwa, nafasi hiyo ni kwa timu inayofuata chini kwenye msimamo wa Serie A, ambayo ni Fiorentina iliyo nafasi ya nane.
Kwa hivyo, Viola wamerejea kwenye Ligi ya Konferensi wiki chache tu baada ya kufika Fainali ya michuano hiyo, kwa kufungwa 2-1 na West Ham United.
Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa.
Wataanza kutoka kwa mchujo wa shindano hilo, na droo itafanywa mnamo Agosti 7.
Mechi ya mkondo wa kwanza itachezwa Agosti 24 na itakayoamua Agosti 31 ili kuona ni nani ataingia kwenye hatua ya makundi.