Kocha wa klabu ya Barcelona Hansi Flick ameweka wazi beki wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo anaendelea vizuri kwasasa, Hivo anaweza kurejea siku za hivi karibuni kuitumikia klabu hiyo.
Beki huyo ambaye alipata majeraha akiwa anaitumikia timu yake ya taifa ya Uruguay na kupata jeraha kubwa lilimfanya afanyiwe upasuaji ambao ulimfanya atarajiwe kukaa nje ya uwanja kwa muda wa miezi minne, Lakini taarifa zinaeleza kua beki huyo anaweza kurejea mapema tofauti na ilivyotarajiwa.“Araújo yuko katika hali nzuri, hatutamharakisha kurudi.”
“Lazima tumwangalie kwa makini kwani anarudi baada ya jeraha baya. Nitafurahi atakaporudi kuwa nasi.”
Beki Ronald Araujo amekua moja ya wachezaji muhimu kwa misimu mitatu sasa ndani ya kikosi cha Barcelona jambo ambalo litaifanya klabu hiyo kufurahia urejeo wake kikosini na ni taarifa nzuri kwa kocha Hansi Flick, Haswa wakati huu ambao timu hiyo inafanya vizuri lakini pia inashiriki michuano mingi hivo ni muhimu kua na wachezaji wengi wenye ubora kikosini.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.