Msolla Aitisha Mkutano Mkuu Yanga

Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Mwenyekiti wake Mshindo Msolla umetangaza Juni 27 mwaka huu kuwa tarehe rasmi ya mkutano mkuu.

Takribani mwaka wa TATU sasa Yanga hawajafanya mkutano wake mkuu wakijikita zaidi katika kuijenga timu na mambo mengine yakiutawala ikiwemo mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji.

Msolla Kwa mujibu wa Msolla mkutano huo umetangazwa kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji kupitia ibara ya 20 ya Klabu hiyo.

Hata hivyo kuitishwa kwa mkutano huo kumetokana na shinikizo nje ya Yanga juu ya kutoitishwa kwa mkutano  huo kwa muda kama katiba yao inavyoeleleza kufanya kila mwaka.


UNAWEZA KUWA MILIONEA WAKATI WOWOTE!

Zungusha na ushinde mkwanja wako papo hapo baada ya mzunguko kukamilika. Ni kugusa tu 🤑.

kane, Kane Aweka Wazi Maazimio Yake Kucheza UEFA., MeridianbetBASHIRI SASA

2 Komentara

    Sawa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.