Gabriel Ruksa Kuondoka Lille

Baada ya kuonesha matamanio ya kuongeza uwezo wake kunako soka la Ulaya. Hatimaye Gabriel Magalhaes  ameruhusiwa kuondoka Lille.

Inasemakana uwezekano wa beki huyo kucheza kunako Ligi Kuu Uingereza – EPL ni mkubwa kufuatia vilabu kama Manchester United na Arsenal kuhitaji saini ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 22, raia wa Brazil.

Akizungumza na BBC World Service’s World Football, mmiliki wa Lille – Gerard Lopez amesema, “Jinsi tunavyofanya kazi ni rahisi. Tumemuelezea [Gabriel] yeye na wakala wake kile tunachokihitaji, endapo kitatimizwa basi maamuzi yatakuwa ni yake. Kama tulivyofanya kwa Nicolas [Pepe] na Victor [Osmihen].

gabriel
Gabriel Magalhaes (kushoto) akichuana na Di Maria (kulia)

“Tumefikia hapo na tumemwambia, unapaswa kufanya maamuzi lakini hatukulazimishi. Nadhani ataamua wiki hii au mapema wiki ijayo. Anaondoka, tumeruhusu hilo.

“Kunaushindani mkubwa, bado ni mchezaji kijana. Anapaswa kufanya maamuzi yaliyosahihi. Tumemsaidia kidogo hivyo tumemwambia, tunadhani huyu ni kocha sahihi au hii ni klabu sahihi kwako. Anakipaji kikubwa, atafanikiwa popote atakapokwenda.”

Mapema mwezi Juni, Gabriel alikaribisha fursa za kujiunga na timu zingine alipoweka wazi adhima yake ya kutaka kuboresha zaidi kiwango chake.

Gabriel
Gabriel Magalhaes

Akizungumza na L’Equipe. Gabriel alinukuliwa akisema, “Ninahitaji kwenda mbali zaidi kadiri iwezekanavyo, nilikuja ulaya kwa ajili hiyo. Uingereza au Italia? zote ni sehemu zenye mashindano mazuri.

“Popote nitakapokwenda, nitaweza kucheza katika nafasi ya juu. Kikubwa zaidi ni katika timu itakayoniruhusu kucheza kwa nafasi.”

Lille wapotayari kumuuza Gabriel kwa timu yeyote itakayowalipa pauni milioni 25. Inafahamika kwamba kocha wa Man UnitedOle Gunnar Solskjaer yupo sokoni kumtafuta beki wa kati anayetumia mguu wa kushoto atakayecheza na Harry Maguire msimu ujao.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

Soma zaidi

40 Komentara

    United chukua jembe hilo

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Maisha popote angalia maslahi yako!!!

    Jibu

    Kazi kwake kuchagua wapi pa kwenda

    Jibu

    Maoni:vizuri aje EPL

    Jibu

    United chukua jembe ilo ni noma sana#Meridianbettz

    Jibu

    Uamuzi ni wako uende unapotaka

    Jibu

    Itakuwa poa kama Gabriel akienda kwa mashetani wekundu

    Jibu

    Manchester chukueni jembe Hilo
    Bado kijana mbichi kabisa@meridianbettz

    Jibu

    Akienda arsenal itakua vizuri kwa uwezo alio kua nao Gabriel ndio kutamfaa zaidi na sio man Chester

    Jibu

    Hapo inabodo Arteta achangamke amchukue Gabriel ilikipanga kikosi cha Arsenal vizuri

    Jibu

    Kambi popote ni bora haangalie maslahi yake

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    Kambi popote, Cha muhimu mkwanja tu..

    Jibu

    Vizuri alicho kiamua kambi popote

    Jibu

    Naisi atachukuliwa man

    Jibu

    kikubwa maslai

    Jibu

    Juhudi za Gabriel Magalhaes zitazaa matunda muda sio mrefu, Kila la heri Gabriel Magalhaes

    Jibu

    Man wanatakiwa wasajili ili kuendana farsafa ya soko waache uingereza mwingi

    Jibu

    Nadhani mahali sahihi kwa Gabriel ambapo atapata nafasi ya kucheza mara kwa mara ni Chelsea#meridianbettz

    Jibu

    Maamudhi Ni yake na siku zote wachezaji hua Wana ndoto zao katika career ya mpira na Gabriel nadhani anaona sio sehemu sahihi lile ya kutimiza ndoto zake.

    Jibu

    Maslai ndokila kitu

    Jibu

    Maslai ndokila kitu

    Jibu

    Ndoto zake anahisi haziwezi kutimia akiwa na Lille.

    Jibu

    Epl ndio ligi ya ushindani gabriel kaonyeshe uwezo

    Jibu

    Uwamuz mzr

    Jibu

    Njoo man u

    Jibu

    Aende arsenal

    Jibu

    Taarifa imeeleweka

    Jibu

    Maisha popote kila la kheri

    Jibu

    Juhudi za Gabriel Magalhaes zitazaa matunda muda sio mrefu, Kila la heri Gabriel Magalhaes kapige boli dogo

    Jibu

    Maisha popote kila la kher

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Hatumtaki sie Man U #Meridianbettz

    Jibu

    itapendeza zaidi gabriel akitua united

    Jibu

    Hatimaye Gabriel Magalhaes ameruhusiwa kuondoka Lille n habar njema matumain yang aje ata arsenal maaana kwa kiwango chake anatakiwa kupata timu yenye mfumo mzur wa uchezaji coz haina ya uchezaji wake utampendeza akiingia Arsenal

    Jibu

    Maamuzi anayo mwenyewe kubaki au kuondoka.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.