Glazers Wataka Pauni Billion 4 Kung'oka United

Familia ya Glazer ambayo inamiliki klabu ya Manchester United imetaja bei ya kuiuza Manchester United kwa mtu atakayetaka baada ya sakata la European Super League.

Familia ya Glazer imekuwa chini ya presha sana kutoka kwa mashabiki wa mashetani wekundu kutokana na sakata la Super League. Familia hiyo ilinunua Manchester United mwaka 2005 kwa pauni milioni 790 tu! Lakini sasa wanataka pauni bilioni 4.

Glazer waweka pauni bilion 4

Mamia ya mashabiki wa United walikusanyika nje ya Old Trafford wakitaka familia ya Glazer iiachie klabu hiyo ili irudi kwenye muhimili sahihi. Mashabiki wengi wameishutumu familia hii kwa kukusanya hela kwa ajili ya matumbo yao na wala sio kwa ajili ya timu.

Manchester United wamekuwa wakitumiwa na familia hiyo katika kutaka hela ambao wamekuwa wakisaini mikataba mingi ya udhamini huku kiwango cha madeni kwa United kikiongezeka siku hadi siku.


MKWANJA MARIDHAWA NA KASINO YA 777 MEGA DELUXE

Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.

CHEZA HAPA

14 Komentara

    Duuh hii familia sio pouwah kabisa

    Jibu

    Duh hatar

    Jibu

    Ondoken tupen united yetu

    Jibu

    Noma sana.

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Duuhh

    Jibu

    Yani sio poa kabisaa

    Jibu

    Hatariii

    Jibu

    Duuuh noma sana

    Jibu

    Daah

    Jibu

    Noma sana

    Jibu

    Imekuwa biashara sasa

    Jibu

    Hii family sio poa

    Jibu

    Duuh sio poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.