Familia ya Glazer ambayo inamiliki klabu ya Manchester United imetaja bei ya kuiuza Manchester United kwa mtu atakayetaka baada ya sakata la European Super League.
Familia ya Glazer imekuwa chini ya presha sana kutoka kwa mashabiki wa mashetani wekundu kutokana na sakata la Super League. Familia hiyo ilinunua Manchester United mwaka 2005 kwa pauni milioni 790 tu! Lakini sasa wanataka pauni bilioni 4.

Mamia ya mashabiki wa United walikusanyika nje ya Old Trafford wakitaka familia ya Glazer iiachie klabu hiyo ili irudi kwenye muhimili sahihi. Mashabiki wengi wameishutumu familia hii kwa kukusanya hela kwa ajili ya matumbo yao na wala sio kwa ajili ya timu.
Manchester United wamekuwa wakitumiwa na familia hiyo katika kutaka hela ambao wamekuwa wakisaini mikataba mingi ya udhamini huku kiwango cha madeni kwa United kikiongezeka siku hadi siku.
Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.



aisha
Duuh hii familia sio pouwah kabisa
Elika
Duh hatar
Issa
Ondoken tupen united yetu
Furahav
Noma sana.
neema hassan
Duuh
Sarah
Duuhh
Adelta
Yani sio poa kabisaa
Sauda
Hatariii
Theonestina
Duuuh noma sana
Venerose
Daah
Mwanahamisi
Noma sana
Sania mapua
Imekuwa biashara sasa
warda
Hii family sio poa
Lydia Emmanuel Magoti
Duuh sio poa