Griezmann Aliwahi Kutamba "Niko Levo za Mesi na Ronaldo"

Nyota wa Barcelona Antoine Griezmann ni moja kati ya wachezaji wanaotajwa kuwa bora zaidi duniani. Nyota aliwahi kutamba mwishoni mwa mwaka 2018 kuwa kwa wakati ule yeye tayari alikuwa amezifikia levo za nyota wa Juventus bwana Ronaldo na staa wa Messi kutoka Barcelona.

Nyota huyu alitemwa kwenye tuzo bora ya FIFA ambayo mshindi alitangazwa septemba 24, lakini alisisitiza kuwa hajapigwa gepu na mastaa hao wawili na anahisi yuko juu na ataendelea kuwa juu zaidi. Pia aliatazamia huenda angepata taji la Ballon d’Or mwaka 2019 lakini bahati haikuw

a yake pia.

Antoine Griezmann Atletico Madric
Antoine Griezmann akiwa Atletico Madrid

Katika kipindi cha tambo hizi, staa huyu alisema kuwa anatambua kuwa bado anatakiwa ajiboreshe zaidi kwenye soka analocheza, kwa mtazamo wake sio lazima afunge magoli 50 au zaidi ndio awe bora, ni kucheza kwa jitihada zote kwa ajili ya kuisaidia timu yake.

Kwake Antoine Ballon d’Or ni tuzo kubwa na muhimu zaidi, tofauti na tuzo ya FIFA, kwa kuwa tuzo hii huamuliwa kwa kura za watangazaji hivyo kwake yeye ni tuzo ya kujivunia zaidi kulingana na historia ya tuzo yenyewe.

Kabla ya kuhamia Barcelona toka, alidai kubaki Atletico ilikuwa ni uamuzi bora zaidi. Aliamini timu yake na wachezaje wenzake wanampenda, hatazami pesa katika kufanya maamuzi yake.

-Antoine Griezmann kwenye gazeti la AS.

“Nafikiri nimeshaa sehemu ambayo Messi na Cristiano wapo. Na natambua wachezaji wengine watafika hapa kwa kweli. … Nafikiri iko wazi hii, mimi ni mchezaji tofauti kuliko Christiano Ronaldo, Messi, Neymar au Mpappe. Niko juu lakini naweza kujiboresha”

 


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi Ucheze

29 Komentara

    Ni kwl griezman alifika anga za Messi na Ronaldo lakin now amefulia Sana ss mashabik wake tuna matumain antoniaogriezman atafany vzr msimu ujao

    Jibu

    Griezman ni mchezaji mzuri sana tatizo mnyota yake inang’aa na kufifia tofauti na cr7

    Jibu

    Griezman alitamba kipind cha kombe la dunia ila awez kufikia level za Ronald na Messi

    Jibu

    Alijufulaish wale wachezaji wapo sayar nyingn nayy yupo kwingne different

    Jibu

    Jana jipya uyo

    Jibu

    Atakuwa natasha njiti ktk upepo

    Jibu

    Ana jipya huyo

    Jibu

    Kabla ya kuhamia Barcelona toka, alidai kubaki Atletico ilikuwa ni uamuzi bora zaidi. Aliamini timu yake na wachezaje wenzake wanampenda, hatazami pesa katika kufanya maamuzi yake.

    Jibu

    Alitamba sn kipindi cha kombe la dunia

    Jibu

    Bado nafikiria wapi akienda Antoine Griezmann tutaona tena cheche zake na kumrudisha kwenye chat yake

    Jibu

    Hana jipya

    Jibu

    Hajawafikia wakina Mesi na Ronaldo#Meridianbettz

    Jibu

    Hakuna jipya

    Jibu

    Griezman hawezi kufikia kiwango cha cr7 na akabakia hadhi iyo kipindi cha nyuma alikuja kwa kasi lakini saiz amna kitu kabisa

    Jibu

    Ha ha ha kweli usingoje kusiwiwa unatakiwa ujikubali mwenyewe anajua na anaweza ila hawezi kuwafikia messi na ronaldo

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Griezman sasa hivi hana lolote kiufupi kaishiwa

    Jibu

    Hana jipya
    @meridianbettz

    Jibu

    kipindi cha nyuma kweli alikuwa yupo vizuri lakini sasa hivi wa kawaida tu

    Jibu

    Kujiamini ndio kitu kinacho takiwa tumeon a alakati zake zote griezma hana ndoto za kuchukua tunzo ya mchezaji bora wa dunia big up sana kila kitu kinawezekana

    Jibu

    Greizman ni mchezaji mzuri sana sema anakiwango cha kushuka na kupanda

    Jibu

    Ww levo za Messi hapana

    Jibu

    ANTOINE GRIEZMANN hajafikia levo za Messi na Ronaldo anahijika kufanya jitihada ziadi kufikia uwezo wa Wakongwe hao#meridianbettz

    Jibu

    Mmh hatari sana.

    Jibu

    Griezman apambane sana kufikia levo hizo

    Jibu

    Ulikua ni mtazamo wake sio mbaya.

    Jibu

    Hana maajabu huyo

    Jibu

    Habado Sana Yani kufikia levo za Messi na Ronaldo atasubili Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.