Zlatan Ibrahimovic anatarajia kurejea kwenye timu ya taifa ya Sweeden mwezi Machi, kwa mujibu wa ripoti mbalimbali za soka.
Nyota huyu wa miaka 39 aliamua kuachana na soka la kimataifa mwaka mwaka 2016, kwa mujibu wa fotbolldirekt.se, lakini sasa yupo tayari kurejea.

Ibra anatarajia kuitwa tena kwenye timu ya Sweden kwenye likizo ijayo ya kimataifa, wakati Sweden wakiwa wanajiandaa kuumana na Kosovo, Georgia na Estonia.
Andersson anasema kuwa alimtembelea Ibrahimovic mwezi Novemba, anasema baada ya kuona Zlatan anazungumzia suala la kurejea dimbani kwenye timu ya taifa aliona kulikuwa na umuhimu mkubwa wa kufanya mkutano na yeye mapema.
Baada ya mazungumzo ya meneja huyo na Ibra, basi bila shaka tutarajie kurejea kwake dimbani.
Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx
Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.



Venerose
Zlatan karibu sana Taifa
Adelta
Tunakupokea karibu
Hopemwaikuka
Kaz kazin
Lydia Emmanuel Magoti
Safii inapendeza
Sarah
Jambo zuri
Caroline
Karibu sana
warda
Afadhali aende timu ya taifa mana anajua sana
Neema juma
Jambooo la kheri