Salah Atatimba Madrid au Barca?

Nyota wa Liverpool Mohamed Salah amekuwa akihusishwa na kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa ripoti nchini Hispania, nyota huyu anajiandaa kuhamia Hispania wakati vilabu vya Barcelona na Real Madrid vikihusishwa naye zaidi.

Fowadi huyo alionekana kutokuwa na furaha baada ya kichapo cha bao moja bila dhidi ya Chelsea alhamisi, na taarifa zinasema Jurgen Klopp sasa anafanya jitihada kurejesha furaha yake kikosini hapo.

Salah Atatimba Madrid au Barca?

Salah alijiunga na Liverpool mwaka 2017 akitokea Roma kwa dau la £37.8m, hadi sasa nyota hiyu mwenye miaka 28 amecheka na nyavu mara 118 katika mechi 189 alizocheza tangia alipowasili klabuni hapo.

Alikuwa sehemu muhimu sana ya kikosi cha Liverpool katika kutwaa mataji ya Ligi Kuu Uingereza na Ligi ya Mabingwa Ulaya.  Licha ya kuwa na mafanikio klabunia hapo, taarifa za kuhitaji kuondoka klabuni hapo zimekuwa zikichukua taswira kubwa zaidi.

Kwa mujibu wa ripoti za hivi karibuni, wakala wa staa huyu tayari ameshapanga mikutano na vilabu vyote viwili, Barcelona na Real Madrid, kipindi ambacho vilabu vyote viwili vikitajwa kuwa kwenye mawindo ya fowadi.


Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx

Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.

  CHEZA HAPA

7 Komentara

    Mmmh kazi ipo

    Jibu

    Klopp yuko sahii kwenye mazungumzo yake

    Jibu

    Atakavyo

    Jibu

    Ngoja tuone

    Jibu

    Maamuzi niyake

    Jibu

    Salah njoo madrid kwa wajanja

    Jibu

    Jamani salah si aje Man U

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.