Inter Milan Wamvuta Mkhitaryan

Klabu ya Inter Milan imekamilisha usajiri wa mchezaji wa kimataifa wa Armenia Henrikh Mkhitaryan kutoka klabu ya AS Roma ambapo kiasi kilichotumika kwenye usajiri huo hakijawekwa wazi.

Henrikh Mkhitaryan amekuwa mchezaji wa kwanza kutoka nchini Armenia kusajiriwa na klabu ya Inter Milan, huku pia akiwa pia mi mchezaji wa kwanza kutoka Armenia kuvichezea vilabu vya Shakhtar Donetsk, Borussia Dortmund,  Manchester United, Arsenal, na Roma.

Mkhitaryan aliandika kwenye ukarasa wake wa Twitter “nina furaha sana kujiunga kwenye klabu bora! nitanyafa kwa ubora wangu wote na kujitoa ili kuweza kuisaidia timu kufanikiwa malengo yake.”

Mkhitaryan ameichezea klabu ya AS Roma michezo 117, na amefanikiwa kufunga magoli 29 na kusaidia 28, huku akiichezea Armenia michezo 95, na kufunga magoli 32.


ALIYA’S WISHES

Bila shaka unatamani ushindi mkubwa, vipi kuhusu kujaribu Sloti hii ya Aliya’s Wishes? jaribu ushinde sasa.Kasino ya Mtandaoni

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.