Juventus Kuikosa UEFA Champions league Msimu Ujao?

Kipigo cha magoli 3 Kwa 0 kutoka Kwa AC Milan kimefanya vijana wa Andrew Pirlo, Juventus Turin kushuka hadi nafasi ya 5 ya msimamo wa Ligi Kuu Italia yani Serie A.

juventus
AC Milan

Endapo Juventus watamaliza nafasi hiyo ya 5 kwenye ligi basi itawafanya kupotezà nafasi ya Kushiriki michuano ya UEFA Champions league Kwa Msimu ujao, na hii itakuwa ni mara ya kwanza baada ya miaka 10.

Mara ya mwisho Kwa Juventus kukosa michuano ya UEFA Champions league ni msimu wa 2010/2011 walipo maliza msimu wa Ligi wakiwa nafasi ya 7 wakiwa na alama 59 chini ya Meneja Luigi Del Neri.

juventus
Luigi Del Neri

Juventus kwa sasa ipo nyuma Kwa alama 1 toka kwa Napoli inayoshikilia nafasi ya nne Kwenye msimamo.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

10 Komentara

    Pole yao

    Jibu

    Majanga.

    Jibu

    Jamani pole yake

    Jibu

    Juve jipangen

    Jibu

    Duuh sio poa

    Jibu

    Wana msimu mbaya sana

    Jibu

    Mbona majanga mazito Sasa

    Jibu

    Duuh sijui itakuaje

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.