Zinedine Zidane amesema “amekasirika sana” baada ya uamuzi wenye utata wa VAR dhidi ya Real Madrid katika sare ya 2-2 na Sevilla Jumapili, ambayo ilikwamisha harakati zao za kuishusha Atletico Madrid kileleni mwa La Liga.

Wakati wa uhakiki wa rafu aliyochezewa Karim Benzema dakika ya 78, waamuzi waliamua mapema beki wa Real Madrid Eder Miltao aliunawa mpira kwenye sanduku. Badala ya kuipatia Real Madrid penati wakapewa Sevilla. Ivan Rakitic alifunga na kuongeza bao moja kabla ya Eden Hazard kusawazisha ndani ya dakika za lala salama.
Wakati Zidane alikuwa akielezwa, alisema baadaye: “Walichoniambia hakijanishawishi”.
“Nina hasira sana,” Zidane aliambia Movistar. ” Nimeongea na waamuzi kwaajili ya kutafuta maelezo, ina changanya sababu tulistahili zaidi lakini ndiyo ipo kama hivyo.
Aliongeza:”Sielewi chochote kutoka kwa waamuzi, kama Miltao aliunawa mpira na Sevilla vilevile waliunawa.
“Sijashawishika na maelezo yao, unajua sijawahi kuwalalamikia waamuzi lakini leo nina hasira sana.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.



Elika
Anahaki ya kuchukia
Venerose
Sevilla penat ilikuwa sahihi kupewa
Shakila
Roho mbaya iyo alitakaje
Sarah
Asante kwa taarifa
[email protected]
Ana haki ya kuchukia
Adelta
Zidane yuko sahii
Johnmary jo
Hapaswi kukasirika ajipange upya
Saupha
Ilikua sahihi panart
Furahav
Daah wamuzi wanazingua.
Khadija
Asante kwa taarifa
Issa
Zizu huna sera
Lydia Emmanuel Magoti
Zidane yupo vizuri
Amiri Kayera
Atulie ubingwa mgum
Magdalena
Ndo mchezo asichukulie hasira
Sania mapua
Sevilla ilibebwa
aisha
Mambo hayo
Theonestina
Wakaze buti