Zidane: Nimekerwa na Uamuzi wa Kuwapa Penati Sevilla

Zinedine Zidane amesema “amekasirika sana” baada ya uamuzi wenye utata wa VAR dhidi ya Real Madrid katika sare ya 2-2 na Sevilla Jumapili, ambayo ilikwamisha harakati zao za kuishusha Atletico Madrid kileleni mwa La Liga.

Zidane: Nimekerwa na Uamuzi wa Kuwapa Penati Sevilla

Wakati wa uhakiki wa rafu aliyochezewa Karim Benzema dakika ya 78, waamuzi waliamua mapema beki wa Real Madrid Eder Miltao aliunawa mpira kwenye sanduku. Badala ya kuipatia Real Madrid penati  wakapewa Sevilla. Ivan Rakitic alifunga na kuongeza bao moja kabla ya Eden Hazard kusawazisha ndani ya dakika za lala salama.

Wakati Zidane alikuwa akielezwa, alisema baadaye: “Walichoniambia hakijanishawishi”.

“Nina hasira sana,” Zidane aliambia Movistar. ” Nimeongea na waamuzi kwaajili ya kutafuta maelezo, ina changanya sababu tulistahili zaidi lakini ndiyo ipo kama hivyo.

Aliongeza:”Sielewi chochote kutoka kwa waamuzi, kama Miltao aliunawa mpira na Sevilla vilevile waliunawa.

“Sijashawishika na maelezo yao, unajua sijawahi kuwalalamikia waamuzi lakini leo nina hasira sana.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

17 Komentara

    Anahaki ya kuchukia

    Jibu

    Sevilla penat ilikuwa sahihi kupewa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Zidane yuko sahii

    Jibu

    Ilikua sahihi panart

    Jibu

    Daah wamuzi wanazingua.

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Zizu huna sera

    Jibu

    Zidane yupo vizuri

    Jibu

    Atulie ubingwa mgum

    Jibu

    Ndo mchezo asichukulie hasira

    Jibu

    Sevilla ilibebwa

    Jibu

    Mambo hayo

    Jibu

    Wakaze buti

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.