Selikali ya Italia imesisitiza kuwa hakutakuwa na mabadiliko katika utaratibu wa timu kuwekwa Karantini kwa siku 14 ikiwa timu yeyote itapatikana kuwa na mgonjwa yeyote, hata kama atakuwa mgonjwa mmoja.
Kwa mujibu wa chapishop la Corriere dello Sport, maamuzi yaliyoweka na mamlaka ya CTS kuhusu karantini yataendelea kutekelezwa kama ilivyoamuliwa awali.
Kulikuwa kunasubiriwa kama kungekuwa na mabadiliko yeyote katika utaratibu huu baada ya kuwepo kwa kikao kati ya Raisi wa FIGC Gabriele Gravina na Waziri wa Afya Roberto Speranza.

Kwa maana hii, sertikali imeamua kuungana na uaamuzi wa Kamati ya Kitaalamu na KIsayansi. Hivyo, kama timu yeyote itapatikana na mgonjwa wa virusi vya Corona, basi timu hiyo kwa pamoja italazimika kusalia Karantini kwa siku 14.
Mechi za Serie A zimepangwa kuendelea kuanzia Juni 20, wakati Copa Italia katika hatua za nusu fainali Juni 12 na 13.
Hofu ni kuwa kwa namna ratima zitakuwa ngumu, ikitokea klabu ikapatikana kuwa na mgonjwa yeyote basi kutakuwa na sintofahamu katika ligi kwa kuwa kutalazimika mabadiliko ya mara kwa mara ili kuendana na hali halisi.


Ernest
Ni jambo zuri kwa usalama zaidi
JULIANA
Nijambo jema afya ni bora
felister
ni Jambo jema kwa usalama wao
Zeiyana
Daaah..! Mungu hatuepushie na ili gonjwa
Shafii
Maamuzi mazuri ya serikali afya muhimu Kwanza
Latifa juma mohamed
Jambo zuri, lkn mung aendelee kutulinda.
mwakalosi
no swala zuri kwa usalama zaidi
lombo
ni wazo zuri ktk harakati za kupambana na mdudu corona
Lydia Emmanuel Magoti
Nijambo zuri kwa usalama zaidi
Furahav
Hii corona noma sana.
Gabriel
Kujua afya n Jambo zur sana hasa ukiangalia wakat huu wa gonjwa la corona lazma lizingatiwe hilo
David Pere
Wangemaliza tu ligi yao Kama ufaransa maana majanga yanashindwa kuwaisha
Theonestina
Corona ni ugonjwa hatar sana.kinga ni Bora kuliko tiba.wakae tu karantini
Genia Sikaluzwe
Ni Jambo jema kwa usalama zaidi
mathayo sonje
hii inaonesha kama baadhi ya viongozi hawapo tayari kurejea kwa ligi hii, maana kama kapatikana mgonjwa mmoja alafu unaifungia timu nzima, haijakaa sawa! #meridianbet
Caroline
Sawa Kwa ajili ya afya zao
Amani
Nijambo jema kujua afya
Dorophina
Ni vizuri kwaajili ya afya zao
Kenani
Kwa usalama zaid
Evaluziga
Ni Jambo jema kuhusu afya
Salma
Kutoka na hari ya sasa ni wazo nzuri
Rehema
Ni swala zuri sn kwa usalaam wake
Neema juma
Ni sawa tu walivyoshauri ni kwa ajili ya afya ya wote
Rehema
Ni swala zuri sn kwa usalaam wake
Mwanaidi
Ni vizuri kwaajili ya usalama
Antony Luseno
Huu ni msimamo mzuri kwa serekali
Hope mwaikuka
Usalama kwanza mengne yatafuata
Agness
Nihabari njema kwa afya zaidi
Tahiya
Ni jambo njema kwa kujari afya
Ester jackson
Sheria iliyowekwa na serikari na afya itawafanya wanamichezo na ziongozi wa michezo kutorudi mana wanahofu kama mmoja akipatika wote watahusika kutegwa sizani kama wote watakuwa tayari kujiunga na vikosi vyao
Emmy cleopa
Ni vizur kujua afya zao
Rehema Dickson
huu wa gonjwa la corona lazma lizingatiwe hiloe ili kila mtu awe salama na kumlinda mwenzie
Theckla
Kwa usalama wa wachezaji ni lazima kufata masharti
Elika
Watakuwa wamefanya vizuri..ni jambo la kheri na lakiusalama zaidi
Warda
Imekaa poa sana hiyo #Meridianbettz
isha
Ni jamabo la kheri kwa usalama wao wa afya
Khadija
Ungonjwa hatari sana #meridianbettz
Devotha
Mambo zuri kwa usalama wa wachezaji
Adelta
Ni Jambo zuri la kuweka usalama zaidi
Mwajuma
Karantini tena kweli ligi watacheza tena maana tunasubilia burudani sisis
Asha mvugalo
Afya ni Bora
Isaya massawe
Wako sahihi maana afya ni bora
Hamidu
Tahadhali muhimu
Povel
Afya ni Bora sana
Mwanahamisi
Ni Jambo jema kujua afya
Magdalena
Agizo lazima lizingatiwe ili kuoka maisha yetu
Samiah
Kinga nibora kuliki tiba
Mariam mtandama
Tahathali muhimu
Asia Abdy
Mungu atusaidie
Sabrina
Maoni:Tahadhali inaitajika kweli