Benki ya KCB leo Septemba 16, imesaini mkataba na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), kwa ajili ya kudhamini Ligi Kuu Bara, kwa mkataba wa mwaka mmoja kwa msimu wa 2020/21.
Hafla hiyo fupi imefanyika ukumbi wa Hoteli ya Serena, Dar es Salaam, ikiwa ni mara ya nne KCB kuendelea kufanya udhamini ndani ya Ligi Kuu Bara.
Christine Manyenye, Mkuu wa Idara ya Masoko wa KCB, amesema:”Tuna furaha kubwa kwa kuingia mkataba na TFF wenye thamani ya milioni 500 na kodi ndani yake. Licha ya ugumu ambao upo kwa sasa kutokana na uwepo wa Janga la Corona ambalo limevuruga masuala ya uchumi.
“Malengo yetu ni kuona kwamba kunakuwa na ushindani ndani ya ligi pamoja na kuona kwamba kila mwanafamilia ya michezo anafurahi na ajira inapatikana kupitia michezo.

“Pia KCB lengo letu ni kuona kwamba tunaweza kuwa sehemu ya mafanikio ya wengine pamoja na kukuza uchumi wa nchi kwa kuwa michezo ni ajira na tunalipa kodi,” amesema.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Steven Mguto kwa niaba ya Rais wa TFF, Wallace Karia amesema kuwa sapoti inayotolewa na KCB ni kubwa na kwa kufanya hivyo ni kurudisha kwa jamii na sehemu ambayo imekuwa na mwitikio mkubwa.
“Tunaingia mwaka wa nne tukiwa na KCB, tuna uhakika kwamba hiki wanachokitoa ni kikubwa kwa ajili ya masuala ya michezo,” amesema Mguto.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Amiri Kayera
Ooh deal kubwa Sana hili wamelamba kaz Kwa team kupamba maan akutakua na ukata
aisha
Pongezi nyingi ziende kwa KCB safi sana
Rose kapinga
Kazi kwao wachezaji,kuwaaminisha kcb kwamba hawajafanya makosa kudhamini ligi kuu!!
Khadija
Watoto wa mjini wanakuambia mambo marshi#meridianbettz
Issa
Ligi ya bongo imekuwa na ushindano kiasi
Kwamba inavutia mpaka wawekezaji nje ya nchi
Revina
Mambo mazuri kwa KCB kudhamini timu zetu ,wachezaji watatamba kwa nafasi zao
Sabrina
Safi sana KCB
Theonestina
Kcb mmefanya Jambo zuri
Genia Sikaluzwe
Safii sana kcb
Hopemwaikuka
Kcb mko juu
Theckla
Wametisha
Rehema
Wako juu
Frank
Imekaa vyema hii
Dorophina
Ligi ya bongo msimu huu imekuwa na ushindani mkubwa tu pongezi kwa KCB kwa udhamini wao
Ester jackson
Pongezi sana KCB kwa udhamini mlio towa na tunategemea kuwa wapo wengine ambao wataiga mfano wenu Wa kudhamini michezo yetu ifeke mbali na kutumiza vioaji vyao
Ernest
Jambo zuri katika kuinua sekta yetu ya Michezo, Pongezi nyingi kwa KCB
Adelta
KCB Safi sana 👍@meridianbettz
felister
pongezi nyingi kwa kcb
Nasra
Kcb safi sana
Fatina
Nice
Tatu
Kazi nzuri waliifanya kbc hii itawafanya kujitangaza ndani na nje ya nchi
Sauda
KCB wametisha.
Elika
Safi sana KCB kwa uwekezaji
Mwanahamisi
Safi sana KCB
Caroline
Hongera KCB kwa udhamini
Shani
Pongezi kwanza kwa Bank ya Taifa Ya Kenya kazi kwa wachezaji kupanda juu na si kushuka mechezoni!!
Mwajumah
Pongezi nyingi sana KCB
Zeiyana
Kwa stahili hii inaweza kupelekea soka letu la Tanzania kupanda
Lydia Emmanuel Magoti
KBC Mambo ni moto
Gabriel
KCB wamefanya Jambo zur sana 👍
Saupha mohamed
KBC safi
Janeflora malisa
Vzr sana
Neema
Wanastahili pongezi KCB
David Pere
Ligi ya bongo msimu huu imekuwa na ushindani mkubwa tu pongezi kwa KCB kwa udhamini wao
Povel
Congrat KCB bank kuweka umatemate Vpl
magdalena
KCB wamefanya vyema sana kwa uzamini makini